Congo Rebellion: Clinton Defends Kagame

Congo Rebellion: Clinton Defends Kagame

PISTO LERO

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2011
Posts
2,819
Reaction score
1,458
Aliyekuwa rais wa marekani Bill Clinton amempongeza rais wa Rwanda Paul Kagame licha ya madai kwamba amekuwa akiunga mkono makundi ya waasi katika Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo ambayo yanakiuka haki za kibinadamu.

Bwana Clinton amesema katika mahojiano na BBC kwamba madai hayo ambayo Rwanda inayakataa hayajathibitishwa mahakamani.

Pia alisema kuwa kuna changamoto kubwa katika mpaka wa Rwanda na Congo, kwani una watu chungu nzima ambao walihusika na mauaji ya halaiki miaka ya tisini.

Lakini bwana Clinton amesema kuwa anathamini serikali ya Rwanda kutokana na mafanikio ya kiuchumi yalioafikiwa chini ya rais Kagame.
Kiongozi huyo amekuwa akizuru mataifa ya Afrika pamoja na mwanawe Chelsea ili kujionea miradi ya wakfu wake.

Former US President Bill Clinton has criticized international human rights organizations attributing the problems facing eastern DRC to Rwanda President Paul Kagame, saying they were silent when the Hutu militias were killing Tutsis during the 1994 genocide.
By Edison Akugizibwe 5 hours 45 minutes ago
thumbnail.php

Kagame and Clinton during the latter's recent trip to Rwanda Clinton is a longtime friend of President Kagame.

Speaking to BBC on Tuesday morning, Clinton posed a rhetoric question: "Where were those human rights groups criticizing Rwanda today when Hutus were slaughtering Tutsis?"

He also deflated media criticism of his support of Kagame, who has been branded a human rights violator, saying a free media in 1994 helped Hutus incite violence that led to the mass slaughter.

"All those people who talk about that where were they when the Hutus went crazy in 1994? They had a free press that was venomous, hate-filled radio that urged people to go out and commit mass murder."

"Look, I believe in a free press. When I was President, I helped to keep the press free that made a living out of feasting on my bones everyday! And I think too many politicians are too sensitive to being criticized. I think we have to be a little sensitive to the fact that if you are Rwandan, you don't necessarily hear it that way because you remember that an alleged free press helped push Rwanda into a boiling Colden of butchery…"

Regarding the conflict in DRC, Clinton said Rwanda's support "has not been fully litigated" and that it is complicated by the fact that this section of Congo near Rwanda is full of people who perpetrated the genocide, who spurned the President's offer to come home and not go to prison…and you can't get around the fact that the economic and social gains in Rwanda have been nothing short of astonishing under Kagame, and he says he going to leave when his time is up…"

Kagame intends to quit presidency at the end of his term in 2017.

Clinton expressed his disappointment that "some people in the human rights community believe that every good thing that has happened in Rwanda should be negated by what they allege they [Rwandans] have done in eastern Congo."

The Human Rights Watch has for the last few years been accusing Rwanda of funding the M23 rebellion, a charge Kigali denies.

Following the allegations of backing the rebels, western countries responded by suspending aid to Rwanda, a move that temporarily hurt the East African country's economy.

Clinton's statement is the latest from a high ranking personality in defending Rwanda against accusations of fomenting trouble in DRC.

A few months ago, President Barack Obama urged DRC to "do more" in extending state authority and social services to Eastern Congo.

Obama said the presence of militia groups that threaten regional security needed to be addressed.


Rwanda recently accused the DRC government of providing weapons to FDLR, a militia group composed of perpetrators of the Rwandan genocide, to destabilize Rwanda.
 
Watu wenye upeo wakuona mbali walitambua hilo,wengine kwasababu ya akili zao fupi wanatokwa povu kisa pk ni mtusi,hata afanye zuri vipi hawalioni.
 
Watu wenye upeo wakuona mbali walitambua hilo,wengine kwasababu ya akili zao fupi wanatokwa povu kisa pk ni mtusi,hata afanye zuri vipi hawalioni.

mkuu nona unahangaika sana na ukabila wako wa tutsi vs. hutu

sijui kama Clinton alizungumzia kabila au head of state in the country named rwanda

acha mbegu ya chuki kwa nduguzo... we treat rwanda kama nchi sio kama kabila au eneo la makabila
 
Kwa mujibu wa tarifa nilizozipata kwenye ukurasa wa facebook ya bbc, wameonesha kuwa rais mstaafu wa USA amempa pongezi kem kem Kagame! Jaman mwenye uwezo wa kutuwekea habari kamili atusaidie kwani natumia Nokia c1,! My take namuunga mkono Clinton
 
130812141936_bill_clinton_africa_304x171_bbc_nocredit.jpg

Bill Clinton yuko katika ziara ya Afrika kuzuru miradi iliyo chini ya wakfu wa Clinton

Aliyekuwa rais wa marekani Bill Clinton amempongeza rais wa Rwanda Paul Kagame licha ya madai kwamba amekuwa akiunga mkono makundi ya waasi katika Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo ambayo yanakiuka haki za kibinadamu.
Bwana Clinton amesema katika mahojiano na BBC kwamba madai hayo ambayo Rwanda inayakataa hayajathibitishwa mahakamani.
Pia alisema kuwa kuna changamoto kubwa katika mpaka wa Rwanda na Congo, kwani una watu chungu nzima ambao walihusika na mauaji ya halaiki miaka ya tisini.
Lakini bwana Clinton amesema kuwa anathamini serikali ya Rwanda kutokana na mafanikio ya kiuchumi yalioafikiwa chini ya rais Kagame.
Kiongozi huyo amekuwa akizuru mataifa ya Afrika pamoja na mwanawe Chelsea ili kujionea miradi ya wakfu wake.
source BBC-swahili
 
du, kwa hiyo baada ya na sisi kudhani hawa (us) ni wenzetu kumbe wanaweza wakala kotekote!
...siombei aje kusema kuwa kuwafukuza 'wahamiaji haramu' ni uvunjaji wa haki za dinadamu pia, ngoja tusubiri.
 
Acha apewe sifa lakini akizidisha makeke atachapwa kwasasa wanajeshi wote wamenyimwa likizo wakiambiwa nchi iko kwenye hali ya hatari
 
Nadhani ni maoni yake. Tena uzuri ka-justify kuimarisha sababu ya kumpongeza. Ndio demokrasia
 
mkuu nona unahangaika sana na ukabila wako wa tutsi vs. hutu

sijui kama Clinton alizungumzia kabila au head of state in the country named rwanda

acha mbegu ya chuki kwa nduguzo... we treat rwanda kama nchi sio kama kabila au eneo la makabila

Wewe subiri kidogo utaona jinsi watakavyo anza kutukana pk na watutsi.
 
wamarekani wanamlia mahesabu tu. tamko lile la serikali ya US juu ya kagame aache kuunga mkono m23 ndiyo msimamo wa wamarekani kupitia serrikali yao.

Nyie kalieni kusema US ilitamka hamjui zivyo chezwa anga za juu,wata msupport mtu anayetunza magaidi na wauza unga amwache swahiba wake pk?
 
Aliyekuwa rais wa marekani Bill Clinton amempongeza rais wa Rwanda Paul Kagame licha ya madai kwamba amekuwa akiunga mkono makundi ya waasi katika Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo ambayo yanakiuka haki za kibinadamu.

Bwana Clinton amesema katika mahojiano na BBC kwamba madai hayo ambayo Rwanda inayakataa hayajathibitishwa mahakamani.

Pia alisema kuwa kuna changamoto kubwa katika mpaka wa Rwanda na Congo, kwani una watu chungu nzima ambao walihusika na mauaji ya halaiki miaka ya tisini.

Lakini bwana Clinton amesema kuwa anathamini serikali ya Rwanda kutokana na mafanikio ya kiuchumi yalioafikiwa chini ya rais Kagame.
Kiongozi huyo amekuwa akizuru mataifa ya Afrika pamoja na mwanawe Chelsea ili kujionea miradi ya wakfu wake.

inawezekana kabisa anafaidika na rasilimali za damu za drc
 
Maoni ya Clinton ni maoni ya mtu kama wewe. Hata Dr. Slaa alimuunga mkono Kagame kwahiyo sio ajabu mfanyabiashara Clinton kumuunga mkono muuza madini.

By the way, umeshawahi kuona list ya donors wa Clinton Foundation?
 
wamarekani wanamlia mahesabu tu. tamko lile la serikali ya US juu ya kagame aache kuunga mkono m23 ndiyo msimamo wa wamarekani kupitia serrikali yao.

achana na hawa mazuzu wa kinyarwanda wanapenda vya bure sana, ona wanafurahia hata sifa wasizostahili pooor tutsi. zitawatokea puani tu kama mtaendelea kukataa muafaka wa kitaifa kwa kuwakarbisha ndugu zetu wahutu kwa mikono miwili na kusahau yaliyopita
 
Wewe subiri kidogo utaona jinsi watakavyo anza kutukana pk na watutsi.

mtu yeyote mstaarabu hapa jf ni lazima awaambieni ukweli tu jambo ambalo mnaliita matusi! kuambiwa mpatane na ndugu zenu tena waliowakaribisha rwanda kwa huruma yao ndiyo mnaona matusi, ana matusi ya huyo dikteta wenu ndiyo mnaona ustaarabu, rwanda taifa mfu chini ya dikteta kagame.
 
Ngoja wale Tutsi and kagame haters waingie.
 
Back
Top Bottom