Kifaransa ni moja ya lugha rasmi kule Ubelgiji na huku DR Congo waliileta wenyewe.
Kingine wakongo wanaipenda sana Ufaransa/Paris hivyo wamejazana huko na wamekuwa wakirudi na kifaransa tangu enzi za ukoloni. Wengi wao walisoma Ufaransa badala ya Ubelgiji.