Tukisema wewe ni Hutu extremist tuna base kwenye statement kama hizo kweney Red.
Fortunately mmeshindwa in all means, hata wale mliokuwa mnategemea msaada kutoka kwao, they are no longer interested in you.
Hata msaada ambao mngepata au mnaopatiwa is not enough to destabilize Rwanda,nadhani kwani hili ukiuliza wazazi wako watakueleza manake i believe this hate comes from your parents.
Wahutu wenzako wako Rwanda wanajenga nchi yao, wewe uko ukimbizini chuki zako unazimalizia kwenye keyboard,pole sana!
Nime mchallenge mwenzako aonyeshe ni wapi nimetoa statements za kukejeli kabila lingine au kuonyesha any signs of hate, ameshindwa only to ask me if i am a Tutsi or Hutu, hivi nikisema i am Tutsi ina maana mimi ni mkabila?Nikisema mimi Mhaya,Mha au Masai mimi mkabila?
Trying to convince people that, certain group of people, ethnic, tribe etc (all) are evil.Just the way you (jMali) are trying to do.
I wish ungejua the number of Tanzanian Tutsis,