Confirmed: Tcu selection

Jamani wadau dogoo yuko jeshii slebu nijuzenii yametokaa au badoo maana naona sms kilaa siku anauliziaa.....msaada plz
 
Tume yenyewe bado haljatangaza rasmi but kuna baadhi ya vyuo vimetoa majina kwa baadhi ya course kama vile CBE,na vingine vimetoa fulllist of enrolled students kama vile UDSM,UDOM,JORDAN na vinginevingine!
 
Ahahaaaah...
Hii KALI..!
Yaani umeenda kuufukunyua UZI wa mwaka 2013..!!!
Kweli vijana mmevurugwa..!
hizi nyuzi zilitakiwa ziwe closed ibaki kusoma tu sio ku-comment maana mtu aki-comment tu kikawaida uzi unakuwa activated hasa kwa wale wanaopita shortcut kwa kubonyeza kwenye new post, mie mwenyewe kuna dogo amenisumbua sasa hivi nikaingia TCU nikaona system ipo busy, nikaingia JF ambayo ndio reference yangu nikakutana na huu uzi
 
Mwenyewe nilikuwa na sumbuliwa na dogo...ni kagugo(google) wakaniletea uzi huu...mimi nikajua hapa JF be the first to know basi uzi utakuwa wa leo huu sikuangaika na tarehe.
 
Mwenyewe nilikuwa na sumbuliwa na dogo...ni kagugo(google) wakaniletea uzi huu...mimi nikajua hapa JF be the first to know basi uzi utakuwa wa leo huu sikuangaika na tarehe.
Acha kabisa maana system ya TCU ipo busyy nikajua kweli nikaja kwa reference yangu (JF), yakitoka si mbaya kujuzana maana madogo wananisumbua kinoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…