hizi nyuzi zilitakiwa ziwe closed ibaki kusoma tu sio ku-comment maana mtu aki-comment tu kikawaida uzi unakuwa activated hasa kwa wale wanaopita shortcut kwa kubonyeza kwenye new post, mie mwenyewe kuna dogo amenisumbua sasa hivi nikaingia TCU nikaona system ipo busy, nikaingia JF ambayo ndio reference yangu nikakutana na huu uzi