Mto wa mbu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2021
- 4,126
- 9,593
Mzee wasira alikua na mdomo aswaaa, kwenye kampeini alikuwa anaongea Kwa dharau, kebehi na majivuno.
Mungu si Abdul Wala Mchengerwa kwenye MO29, vijana walipiga kiberiti nyumba ya Wasirra.
Hii habari nilileta humu watu wakabisha Leo Mzee Butiku amedhibitisha kuwa nyumba ya Wassira ilipigwa kiberiti
Toka MO29 Wassira kawa na adabu kwelikweli, anaona aibu kutoa kichwa.
MO29 imekuwa game changer kwenye political atmosphere ya Tanzania
Mungu si Abdul Wala Mchengerwa kwenye MO29, vijana walipiga kiberiti nyumba ya Wasirra.
Hii habari nilileta humu watu wakabisha Leo Mzee Butiku amedhibitisha kuwa nyumba ya Wassira ilipigwa kiberiti
Toka MO29 Wassira kawa na adabu kwelikweli, anaona aibu kutoa kichwa.
MO29 imekuwa game changer kwenye political atmosphere ya Tanzania