sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
hahahaha! Acha tujifunze na kiswahili hapa. Kazi kweli kweli, kidhungu shida kiswahili shida, lugha za kikabila ndio kabisaaaa.
Ha hahaha umeonae?
hahahaha! Acha tujifunze na kiswahili hapa. Kazi kweli kweli, kidhungu shida kiswahili shida, lugha za kikabila ndio kabisaaaa.
Tuisheni tena una hela wewe!
Ha hahaha umeonae?
Siye wengine twaijua Kichangachui. Hiyo Masaki hatuijui.
Huyo fang ndo nani?mbna mnamuintertein xana?
Tena????
sasa mi nalala best, usisahau kuhusu makutano. Nitakuwepo pale kuanzia sa 12asbh. Muda wowote we ufike.... Ila plz usinitose kama ulivyofanya leo. Hahaha!
sasa mi nalala best, usisahau kuhusu makutano. Nitakuwepo pale kuanzia sa 12asbh. Muda wowote we ufike.... Ila plz usinitose kama ulivyofanya leo. Hahaha!
huyo arusha anammendea binti yangu. Ukifika makutano utapata info zooote.
lugha za Facebook hatupendelei enheee...
Hasara roho baba pesa makaratasi tu.....we sema sh ngapi!
Hahahaha kukutosa itakuwa ngumu.....si nimekuambia kesho nna zamu ya kwenda sokoni na lazima niibe mia 5???.....we nisubirie pale pale lol!
Usiku mwema mpendwa!
Miadi kimbari? Au habari za umbu?
Laki si pesa milioni matumizi.......Naomba tukutane tukiwa wawili nkupige tution, darasa liaanza saa 6 usiku up to majogoo. Staili zote za sentensi, minyumbuko na tashtiti za maneno mapya tutazikabili
sijui kimbari, sijui umbu... Sijui vyote. Nina usingizi hadi nashindwa kujibu. Usiku mwema eeh.
Usintishe bana...........Mwanafunzi mwanafunzi tu