CONFIRMED: Halima Mdee wins Kawe Constituency

CONFIRMED: Halima Mdee wins Kawe Constituency

Kama kada wa CCM, I believe Halima Mdee will make our bunge so much better. Hongera na kila la kheri Mshkaji. Now you get to be the incumbent. We will be waiting.

Sasa viti maalum pia si ulikuwepo? Sasa itakuwaje hapo?
 
Nisisimkwa ni mwili gap ya 8953 votes, sasa CCM tunajua mshachakachua kura za Slaa, na kama mnabisha tutaona kwenye matokeo ya uraisi
 
wana nazani TUME wawe wanakagua VYETI VYA wanaojumlisha kura,SABABU WENGI INAVYOELEKEA HAWAJUI HESABU RAHISI ZA KUJUMLISHA NA KUTOA,mpaka nnavyoongea maeneo mengi matokeo hayajatoka kisa BADO WANAHESABU KURA.shame:israel:
Hawahesabu, wanafanya maarifa!
 
Hongeara Mbunge wangu Halima Mdee, nilikuwa nasubiri kwa hamu matokeo ya jimbo langu la Kawe
 
Mbunge wangu Halima Mdee.

nakupenda Sana. Kura yangu haijapotea. Nimekuajiri, sasa kafanye yale uliyoniahidi. Na Mungu akutangulie:hippie::hippie::hippie::hippie::hippie::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big:
 
alilililililiiii aiii aiii aiii.... kweli wamebana wee, sasa wameachia! :israel: chama oyeeeee....:director:
 
mijizi ni mijizi tu, sasa kura nyingi namna hiyo, wangeibaje??
 
Hivi Halima is married??
Mi mwenyewe nipo nipo bado.
 
Hakika kweli Mungu umesikia maombi yetu, Mungu alisema Watu wangu niliowachagua hata kama wakiniasi, Wajaporudi, wakatubu dhambi zao, nitawasikia maombi yao na kuwajibu.

Kweli Mungu umejibu maombi ya watanzania wengi, UKatuamsha watu tukaenda kupiga kura, ukatutetea mafisadi wakashindwa kuiba kura kwakuwa ulinzi wako ulikuwa pamoja na kura zetu,

Thanks God because kura yangu kwa Mdee haikuenda bure.
 
Back
Top Bottom