Isaac Chikoma
JF-Expert Member
- Oct 25, 2011
- 475
- 101
Nahitaji msaada kwa mwenye ujuzi wa namna ya kuconfigure huduma ya push to talk kwenye simu ya nokia, au confuguration settings .endapo kama huduma hii inapatikana hapa tanzania.
Nahitaji msaada kwa mwenye ujuzi wa namna ya kuconfigure huduma ya push to talk kwenye simu ya nokia, au confuguration settings .endapo kama huduma hii inapatikana hapa tanzania.
nifahamisheni nini maana ya hii huduma
Ipo kama ile huduma ya mail ya blackberry yaani emails zako zinakua kwenye simu na unapata instant(kama message) inakua sio kama ukiseti kawaida simu mpaka uwe online ndo email zinaingia
Hivo ndo nnavofahamu kama airtel walivoelezea sasa sijajua kama ndo push to talk yote inamaanisha hivo au ni just part tu ambayo airtel wameleta huduma ila ina function zaidi