Ryzen
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 7,305
- 8,655
- Thread starter
- #81
Huu uandishi una tatizo gani?? The concept is simple i was extraordinary and our Teachers hawataki kuwa ChallengedKwa uandishi wako huu atakama Mimi ningekuwa Mwalimu wako ningekunyoosha, nidhamu yako ni ndogo na unajifanya unajua kumbe mbele za watu ni empty headed na ujalitambua hilo.