Mmmh sasa ikiwa raper apenda 0713 itakuwaje...
Na kwa maana hiyo mbakaji anaweza hisi huyo binti anamfanyia hujuma makusudi hivyo anaweza kuamua kumdhuru zaidi kwa mangumi, makofi, kumng'ata etc! Sishauri ziletwe huku!Hayo meno yalitakiwa yaangalie oposite ili mtu mbakaji ashindwe kuingiza lakini kwa hapo yanatazama chini which means mbakaji anauweza wa kuingiza bali hatoweza kuichomoa coz hayo meno yatamuumiza.
very good observation.na kwa maana hiyo mbakaji anaweza hisi huyo binti anamfanyia hujuma makusudi hivyo anaweza kuamua kumdhuru zaidi kwa mangumi, makofi, kumng'ata etc! Sishauri ziletwe huku!
Zisijezikageuka Punda kula na mfuko wa nafaka!You read that right. These female condoms are designed to be worn by women who are at high-risk of being assaulted. And any man who assaults a woman wearing this will never assault anyone again.
ulichelewa sana kumfahamu mkuu ni mtunduzi hasa.Sikuwaha kudhani kuwa wewe ni mtundu na una fikra tunduizi namna hii.....