Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,974
- 35,341
Mimi mwenyewe zamani sikua najua, nina rafiki ni mtu wa afya ndio alinieleza hayo. Wengi wanafuatisha ile kumeza ndani ya masaa 72 baada ya tendo ila mengine hawafuatilii ndio mana kelele za kusema dawa hazifanyi kazi ni nyingi.Oh! Zinahitaji elimu kumbe. Ndio maana mimba za bila kupanga zinaongezeka