na kaniambia yupo kwenye siku za atari ,yaani apa akili imezima mziki wa moyo ni singeli ,ushauli wenu ni msaada unaoitajika .
Kwani ulikojoa? Maana kama INEPASUKA na hukukojoa wala haina shida kuhusu mimba, labda uhofie ngwengwe..!!na kaniambia yupo kwenye siku za atari ,yaani apa akili imezima mziki wa moyo ni singeli ,ushauli wenu ni msaada unaoitajika .
Sema kumwaga shahawa au kupiga bao.Kwani ulikojoa? Maana kama INEPASUKA na hukukojoa wala haina shida kuhusu mimba, labda uhofie ngwengwe..!!
Asubuhi hii upo kwenye uzinzi,Mungu Atusamehe zambi zetuNa kaniambia yupo kwenye siku za hatari, yaani hapa akili imezima mziki wa moyo ni singeli ,ushauri wenu ni msaada unaoitajika.
Wee unawezaje kugegeda na condom....sii bora tuu upige nyeto na mlenda vuguvuguNa kaniambia yupo kwenye siku za hatari, yaani hapa akili imezima mziki wa moyo ni singeli ,ushauri wenu ni msaada unaoitajika.
Hizi kitu zimefanya niitwe Baba saizi, ilibidi nikubali matokeo tuKwani P2 siku hizi haziuzwi?
Kivipi?kwamba hazifanyi kazi?Hizi kitu zimefanya niitwe Baba saizi, ilibidi nikubali matokeo tu
Atakua alikosea mahesabu. Wengi huwa wanakunywa tu hata hawajui zinafanyaje kazi.Hizi kitu zimefanya niitwe Baba saizi, ilibidi nikubali matokeo tu
Yule jamaa ni zezeta.Angalia usije tuzalishia LUCAS MWASHAMBWA MWINGINE ☺️
Wadau wameshauri utafute P2
Anaogopa kuitwa hivyo.Baba kija za asubuh
Nasikia wanasema siyo kila muda zinafanya kazi. Jaribu kufatiliaKivipi?kwamba hazifanyi kazi?
Kufanya ngono huwa ni kwa ajili ya starehe na uzazi tu na kwa wanajeshi ni silaha ya kumdhalilisha adui.Na kaniambia yupo kwenye siku za hatari, yaani hapa akili imezima mziki wa moyo ni singeli ,ushauri wenu ni msaada unaoitajika.