Concept of love: Does love come automatically?

According to Jrafiki:
Mapenzi yanahusianishwa na mambo manne kwa mpigo.
1.Upendo wa kawaida ambao ni lazima uwe nao kwa anayekuwa mpenzi wako.
2.Hisia za kimapenzi.Hapa ni eneo pana sana ambalo kila mmoja anasababu zake zimvutiazo mpenzi wake,na ndilo eneo tunaloyumba nalo kila leo,wengne hufikia kujuta na kutotamani kuishi(Hisia za kimapenzi zinapokuwa collapsed).
3.Life status na mawazo tofauti baina ya watu wawili.
Kwa kuwa mapenzi hayahusishi mtu mmoja,aina budi kuoanisha status za maisha yenu na tabia.Ni vigumu kumpata mtu ambaye atakuwa anamechi na matakwa yako(namna upendavyo wewe kumuona mpenzi wako awe).
4.Umri.Hii huwatokea sana wasichana wanaoanza kujiingza ktk mapenz hadi kufikia miaka 28.Weng wao kutokana na umri mdogo hujihisi wana options nyng sn za kuw na mwanamme mwngne endapo mpenz aliyenaye ataachana nae.Minds zao haziwezi kulitunza penzi,kutunza penzi ni aghari sana.
Labda kwa ufupi nihitimishe kwamba mapenzi yanakuja tu yenyewe mwishowe unaoa/unaolewa na mtu yeyote yule kwa wakati huo.
Its difficult to plan and achieve 100% because mipango yako inategemea na matakwa na maamuzi ya mwingne.
 
According to Jrafiki:
Mapenzi yanahusianishwa na mambo manne kwa mpigo.
1.Upendo wa kawaida ambao ni lazima uwe nao kwa anayekuwa mpenzi wako.
2.Hisia za kimapenzi.Hapa ni eneo pana sana ambalo kila mmoja anasababu zake zimvutiazo mpenzi wake,na ndilo eneo tunaloyumba nalo kila leo,wengne hufikia kujuta na kutotamani kuishi(Hisia za kimapenzi zinapokuwa collapsed).
3.Life status na mawazo tofauti baina ya watu wawili.
Kwa kuwa mapenzi hayahusishi mtu mmoja,aina budi kuoanisha status za maisha yenu na tabia.Ni vigumu kumpata mtu ambaye atakuwa anamechi na matakwa yako(namna upendavyo wewe kumuona mpenzi wako awe).
4.Umri.Hii huwatokea sana wasichana wanaoanza kujiingza ktk mapenz hadi kufikia miaka 28.Weng wao kutokana na umri mdogo hujihisi wana options nyng sn za kuw na mwanamme mwngne endapo mpenz aliyenaye ataachana nae.Minds zao haziwezi kulitunza penzi,kutunza penzi ni aghari sana.
Labda kwa ufupi nihitimishe kwamba mapenzi yanakuja tu yenyewe mwishowe unaoa/unaolewa na mtu yeyote yule kwa wakati huo.
Its difficult to plan and achieve 100% because mipango yako inategemea na matakwa na maamuzi ya mwingne.

Hapo mbona kama kuna mambo yamechanganywa. Maana umetaja factors za kuangalia then mwishoni unasema yanakuja yenyewe!
 
When it comes to true Love it Happens very automatically

Unaweza panga vigezo vyako kabisa, Lakini yule utakaempenda kweli kutoka moyoni hutaangalia hivyo vigezo

Utajikuta upo in deep love na kusahau kabisa vigezo, na utajifariji kwamba utamfanya awe unavyotaka
 
When it comes to true Love it Happens very automatically

Unaweza panga vigezo vyako kabisa, Lakini yule utakaempenda kweli kutoka moyoni hutaangalia hivyo vigezo

Utajikuta upo in deep love na kusahau kabisa vigezo, na utajifariji kwamba utamfanya awe unavyotaka

That means personal qualifications have got no place in true love?
 
Hny, pilau lipo tayari na firigisi uzipendazo; karibu mezani sweetie. Nisamehe kwa kuchelewesha msosi, majeans yako yamenichukua muda mrefu kufua!

My dear wife thanx much kwa chakula kitam!Namshukuru Mungu kwa kunipa mke kama wewe!
 
Hellow, help me here please! Nimekuwa na changanywa hapa. Wengne nataka mume mweupe, oh nataka mke mwembamba, nataka niolewe na kipanga . . Mara hivi mara vile. Sasa swali ni je una~identified characteristics za mtu ndio 'unaamua kumpenda' au you happen to love her/him automatically without considering those qualities?

hii ni very interesting thread
mndo maana wengi hu oa watu tofauti na waliosema amani
hujikuta wamevutiwa na kusahau 'vigezo' vyao
 
Kupenda ni jambo kubwa sana,haliwezi kujaa kwenye dhana hii peke yake!Kwenye sifa ukizotaja hakuna upendo,unapovutwa kwa sababu ya kiungo cha mwili unakua umetamani!
 
Kupenda ni jambo kubwa sana,haliwezi kujaa kwenye dhana hii peke yake!Kwenye sifa ukizotaja hakuna upendo,unapovutwa kwa sababu ya kiungo cha mwili unakua umetamani!

Eiyer, unaweza kutupa experience ilikuwaje kwa Kaunga?
 
Last edited by a moderator:
hii ni very interesting thread
mndo maana wengi hu oa watu tofauti na waliosema amani
hujikuta wamevutiwa na kusahau 'vigezo' vyao

Sasa hebu sema mkuu what happens when u 'say' u love some one?
 
Hapo mbona kama kuna mambo yamechanganywa. Maana umetaja factors za kuangalia then mwishoni unasema yanakuja yenyewe!

nlichokuwa najaribu kukiweka wazi ni uwezekano wa mtu kupanga kuwa angependa aoelewe/aoe mtu wa sifa zipi.Hicho ndio kigumu,lakini sikusema through those factors someone anaweza akazizingatia na kumpata mke/mme.Labda turudi kwenye maada yako ya msingi,kama ulikuwa unauliza mpenz wa kupotezeana muda yes i agree kuwa 100% mtu anaweza akapanga mpenzi wake aweje na akafanikiwa,lakini wa kutengeneza nae real love mwishowe mkaoana huyo hapangwi ni kama ajali tu,utajikuta unashawishika kumuoa nae anakubali kuolewa.
 
And we want that Chemistry then! so it was automatic?

Hii ni hali inatokea mnapofanana either kwa vitendo au kufikiri.Mnavutana bila nyie kujua.Hujawahi kuona thread na post za aina flani ndo zinakuvutia?Au unaelewana na mtu au watu wa aina flan tu?Kazi ya maumbile hiyo!
 
Ronn M, ninavyoamini mimi kila mtu ana characteristics ambazo angependa mwenzawake awe navyo lakini hivyo vigezo sometimes changes with time what I wanted 5 years ago would not be the same as of now. Unaweza ukapenda mtu bila kuwa na hivyo vigezo lakini with time you find he/she has more to give that what you thought its important, here I mean you learn to love the person by knowing him day after day, its gradual process but I feel its more safe. Unakuwa unampenda mtu by knowing him/her in and out na hii its more of matured individual again looks becomes irrelavant.

Halafu kuna wa wale wanaopenda kutokana na vigezo vya muoneka, mwembamba, mweupe, blue sijui ananini, hizi type za mapenzi mimi huwa ninashindwa kuzielewa. Sasa huyo mwembamba akinenepa, au weupe ukatokea kama ni mkorogo mnaanza kumwagana. Muonekano muhimu lakini sio kila kitu katika relashionship sometimes it worthy trading off between appearance and other more important factors ie behaviour, smartness
 
Last edited by a moderator:
Hii ni hali inatokea mnapofanana either kwa vitendo au kufikiri.Mnavutana bila nyie kujua.Hujawahi kuona thread na post za aina flani ndo zinakuvutia?Au unaelewana na mtu au watu wa aina flan tu?Kazi ya maumbile hiyo!


Sometimes opposite attracts, someone to compliment you.
 
Where do u get this Madame x?


Mkifanana sana kwenye kila kitu inakuwa boring and too boring. Ikiwa yeye anapenda football its not necessary I should like football, how about I like basketball. If he spends sometimes with me watching basketball, I would consider thats romantic, doing for love!

Someone to compliment you, ni kuwa ambacho wewe huna yeye anacho and make the life so perfect. Wewe kama una mifweza atatumia yako while you depend on her to make smart decision na kama wewe ni wale serious you should find someone who is laid back and funny to be with sio anasura ya mwanajeshi kama wewe mwenyewe maana humo nyumbani hakutakalika.
 
Back
Top Bottom