Source07
Senior Member
- Oct 5, 2018
- 196
- 352
Kufutia "comments" alizozitoa mshambuliaji wa FC Barcelona na Timu ya Taifa ya Argentina, Lionel Messi,kwenye mchezo uliowakutanisha Argentina na Brasil
Kwenye mashindano ya COPA AMERICA chama cha soka kinachosimamia mashindano hayo kimemfungia Messi kuchezi mashindano yote yanayoshirikisha timu za Taifa kwa kipindi cha Miaka 2!Aidha adhabu hiyo Haita athiri mashindano yanaoandaliwa na FIFA.
Katika mchezo huo Argentina walikubali kichapo cha mabao 2-0 kutoka kwa Brazil waliokua wenyeji wa mashindano hayo,na ambao waliibuka mabingwa wa kombe hilo baada yakusubiri kwa miaka12!
Messi anakutana na adhabu hiyo huku akikumbwa na Nuksi yakushindwa kupata mafanikio katika timu hiyo ya Taifa, akiwa ameiongoza katika Fainali3 tofauti tofauti nahuku kushindwa kushinda ubingwa wowote.
Kauli alizozisema Messi nikua Brazil walibebwa katk mchezo huo huku akiwa tuhumu waamuzi kama ni"corrupt"
Kwenye mashindano ya COPA AMERICA chama cha soka kinachosimamia mashindano hayo kimemfungia Messi kuchezi mashindano yote yanayoshirikisha timu za Taifa kwa kipindi cha Miaka 2!Aidha adhabu hiyo Haita athiri mashindano yanaoandaliwa na FIFA.
Katika mchezo huo Argentina walikubali kichapo cha mabao 2-0 kutoka kwa Brazil waliokua wenyeji wa mashindano hayo,na ambao waliibuka mabingwa wa kombe hilo baada yakusubiri kwa miaka12!
Messi anakutana na adhabu hiyo huku akikumbwa na Nuksi yakushindwa kupata mafanikio katika timu hiyo ya Taifa, akiwa ameiongoza katika Fainali3 tofauti tofauti nahuku kushindwa kushinda ubingwa wowote.
Kauli alizozisema Messi nikua Brazil walibebwa katk mchezo huo huku akiwa tuhumu waamuzi kama ni"corrupt"