Comrade Mwigulu ndani ya Muheza

Comrade Mwigulu ndani ya Muheza

CHAMVIGA

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
7,687
Reaction score
2,240
Anaongea sasa hivi hapa na wana Muheza katika ziara ya baadhi ya wilaya za mkoa wa Tanga.


Anasema mwizi hana chama. Anaweza kuwa Chadema, Ccm au kabila lolote. Watu wasiihukumu CCM kwa ujambazi wa watu wachache.

Wezi wa madawa mahospitalini ni wauaji kama wauaji wengine sheria iwashuhulikie wanapobainika.

Anawaomba watanzania wamuunge mkono katika harakati zake za kupambana ma mafisadi na wahujumu uchumi.

Anasema serikali ipo katika harakati za kulifikisha Taifa katika nchi yenye kipato cha kati. Ni kazi kubwa lakini watanzania wakiungana katika harakati na kuinga mkono serikali ya CCM mkono.

Anawaomba Watanzania kutohadaika na vyama vya upinzani ambavyo vyenyewe vimeshindwa kujiongoza vyenyewe kwamba vitaweza kuliongoza taifa. Hakuna zaidi ya CCM inaynweza kuwafikisha watanzania katika maisha bora.

Anazungumza kama mwl Nyerere kiukweli kwa kujiamini sana. Bila shaka atakuwa mrithi bora wa Lowassa atakapoondoka madarakani.

COMRADE ameongea mengi sana ya ujenzi na sasa anaelekea wilaya nyingine kwa ajili ya mashambulizi ya kuwashukuru watanzania kAKUENDELEA KUINGA MKONO CCM.
 
Anasema mwizi hana chama. Anaweza kuwa Chadema, Ccm au kabila lolote. Watu wasiihukumu CCM kwa ujambazi wa watu wachache.
 
Wezi wa madawa mahospitalini ni wauaji kama wauaji wengine sheria iwashuhulikie wanapobainika.
 
Anawaomba watanzania wamuunge mkono katika harakati zake za kupambana ma mafisadi na wahujumu uchumi.
 
Anasema serikali ipo katika harakati za kulifikisha Taifa katika nchi yenye kipato cha kati. Ni kazi kubwa lakini watanzania wakiungana katika harakati na kuinga mkono serikali ya CCM mkono.
 
Anawaomba Watanzania kutohadaika na vyama vya upinzani ambavyo vyenyewe vimeshindwa kujiongoza vyenyewe kwamba vitaweza kuliongoza taifa. Hakuna zaidi ya CCM inaynweza kuwafikisha watanzania katika maisha bora.
 
Mzushi tu huyo mwigula ccm hawana uwezo huo miaka 50 mini wamefanya Leo ndio wanasema ccm bye bye
 
Anazungumza kama mwl Nyerere kiukweli kwa kujiamini sana. Bila shaka atakuwa mrithi bora wa Lowassa atakapoondoka madarakani.
 
Hawa wasanii tu wanajua Tanga na Muheza bado watu wamelala, CCM kule ni kama dini lazima uwe nayo.
 
COMRADE ameongea mengi sana ya ujenzi na sasa anaelekea wilaya nyingine kwa ajili ya mashambulizi ya kuwashukuru watanzania kAKUENDELEA KUINGA MKONO CCM.
 
Hawa wasanii tu wanajua Tanga na Muheza bado watu wamelala, CCM kule ni kama dini lazima uwe nayo.

Kwasasa hakuna jinsi ispokuwa kuichagua CCM. Vyama vya upinzani hawajajipanga bado.
 
Ziara ya mwiguru muheza haina tija kwa ccm wala kwa wanamuheza kwakua hata alicho kiongea muheza hakina mantiki muheza nitagusia moja tu; amesema maji muheza yatapatikana kwenye bajeti kuu ya2015/16 kwakua zamani walikuwa wanategemea pesa za wahisani;lakini mwaka 2010 rais kikwete alipo kuwa anaomba kura muheza alisema ataleta maji muheza kabla ya muda wake wa uongozi kwisha,lakini rais kikwete mwaka 2014 uwanja wa jitegemee muheza alisema maji muheza hayatapatikana hadi mwaka 2016 je tumwamini nani?ccm hoi
 
mawazo mazuri lakini akumbuke anapambana na watu wenye nguvu kubwa sana kifedha pengine hata maboss wake wanawagwaya,kila la heri mwiguru tuko pamoja
 
Ziara ya mwiguru muheza haina tija kwa ccm wala kwa wanamuheza kwakua hata alicho kiongea muheza hakina mantiki muheza nitagusia moja tu; amesema maji muheza yatapatikana kwenye bajeti kuu ya2015/16 kwakua zamani walikuwa wanategemea pesa za wahisani;lakini mwaka 2010 rais kikwete alipo kuwa anaomba kura muheza alisema ataleta maji muheza kabla ya muda wake wa uongozi kwisha,lakini rais kikwete mwaka 2014 uwanja wa jitegemee muheza alisema maji muheza hayatapatikana hadi mwaka 2016 je tumwamini nani?ccm hoi

Mwigulu kasema maji hayana mbadala kwahyo kama maji hayatapatikana mpaka mwakani itabidi mambo mengine yasimame na kuletwa maji. Inawezekana kwa mwenendo mzuri wa chama kwasasa.
 
mawazo mazuri lakini akumbuke anapambana na watu wenye nguvu kubwa sana kifedha pengine hata maboss wake wanawagwaya,kila la heri mwiguru tuko pamoja

Kazi ya kupambana na ufisadi ni nzito inaitaji kujitolea na kuweka uhai wako rehani.
 
Back
Top Bottom