Comrade Julius Mtatiro

Na wanashindwa kufika tamati kwani lengo lao kubwa la kuiondoa ccm ni la kipuuzi, nadhani wangekuwa na lengo zuri la kimaendeleo ni wazi wangekuwa wamefanikiwa.
 
Hii sheria MBOVU iliyowekwa juu vyama vya siasa ndio inayowagharimu CUF Zanzibar "kuwa chama cha siasa lazima kiwe cha Muungano."

Tokea lini watanganyika wakawa watu ambao wanajiamini na kusimamia Yale wanayoyaamini!!!???

90% ya watanganyika wanaumwa na UGONJWA WA BORA TUMBO!! Ugonjwa ambao dakika moja unamtoa mtu katika msimamo aliousimamia kwa zaidi ya Miaka 10!!! Dokta MIHOGO, ALI KESSY, PROPESA PUMBA, MWAKWEMBE, SHOVJI, N. KASAKA, HIZO TAMBWE, N. k

Hao hapo ni mifano hai kati ya mingi sana dhidi ya Wafoji vyeti wa KITANGANYIKA ambao kwao TUMBO ndio limeshika akili zao zote.

Nikija kwako ndugu "NJAA KIKWAO MHESHIMIWA" kuwaona CHADEMA ndio wapinzani wakweli na kuwadharau CUF waliopoteza wanachama wao na wengine kuwa wakimbizi katika kupigania nchi hii IPATE KATIBA MPYA, TUME HURU ZA UCHAGUZI leo unawaona sio wapinzani wakweli!!!!!!!!!! Hili bwana NJAA kwa kweli ni ajabu Sana!!! Bwana NJAA (PASCAL MAYALLA) nakuomba unipe ushahidi ambao utaionyesha jamii kuwa CHADEMA PEKEE ndio wapinzani wakweli katika INJII HII, chama ambacho kinaogopa mikwara ya watawala hivyo kila wanalolipanga wanashindwa kulitimiza (UKO WAPI UKUTA AU PEOPLE'S POWER)
 
Kuhusu J, Mtatiro shame CUF na kuelekea CHADEMA wala hilo haliwezi kuwa Tatizo kwa CUF ambao wanajitoa nafsi na mali zao katika kuifanya CUF kuendelea kuwa NGANGARI.

CUF ilikuwa na watu wenye ushawishi mkubwa ambao walipokuwa wanasimama kila mtu anaacha yake kuwasikiliza.

Watu kama nyaruba, TAMBWE hiza, Shaibu akilombwe, Lipumba walikuwa nguzo muhimu katika CUF jee walipohama CUF iliyumba au ilizidi kuimarika!!!???

Katika vyama vyote vya upinzani katika INJI hii hakuna chama ambacho kimeandamwa na chama tawala na kupandikiziwa kila aina ya propaganda zaidi ya CUF.

CUF imeitwa chama cha wapemba, waislamu, chakigaidi hadi kufikia kupakaziwa kuwa wameagiza kontena la majambia kwa ajili ya ugaidi.

Ni CUF hiyo hiyo makumi ya wanachama wake wameuliwa, kunajisiwa, kuwa wakimbizi, kuwa walemavu, kuvunjiwa makaazi yao, biashara zao, kuwekwa ndani kwa kwa uhaini. WADANGANYIKA acheni kujitekenya na kucheka wenyewe kwa kuidharau CUF na kuipaisha CHADEMA kuwa ndio wapinzani halisi. SIKU ZOTE UDOGO WA CUF ni UDOGO wa nyuki (si mnakumbuka NGANGARI NA NGUNGURI!!??) Na wingi wa CHADEMA na wingi wa INZI si mnakumbuka UKUTA!!!???
 
Duh!.
P.
 
Uliona mbal sana PASCO
 
Nakutafakari sana kwa muktadha wa leo.
P.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…