Computer Science v/s Telecommunication - Ipi ni course nzuri ya kusoma yenye Kazi!?

Kel.G

Member
Nov 5, 2011
34
6
Husika na Title.
Naomba ushauri wenu wadau' nahitaji kufahamu juu ya course hizo ipi nikasome?
 
telecommunication komaa nayo utatoka.Lakini usidanganywe na mtu mwingine.hyo course nzuri mno sasa nenda kaangalie wanaosoma BAF ni wangapi we komaa ajira kibao.
 
Zote chaka dogo,kama unaweza nenda kapige building economics pale ardhi university.
 
Dogo fuata ushauri wa mwanzo kabisa,, nenda zako Mzumbe BAF au UDSM b com accounts piga zako ma gpa ingia zako auditing firm kaanze safari yako ya career,,, hizo telecom sijui computer science zilikuwa zamani... Now days chaka tu kampuni haziajiri mafundi zina outsource kwa kampuni ndogo ndogo za wahindi like powercomputer, infotech etc,, na hata za simu zina outsource kwa vikampuni vidogo kama prime power, mactech etc,,,, so degree za ufundi miaka ya sasa unapotea utaishia vikampuni vidogo vyenye mishahara kidogo
 
Nakubaliana na wazo kasome BAF au B.COM Finance au Accounts, piga GPA above 4.0 kama upo mzumbe. Ingia zako auditing firm au bank kubwa kubwa ( NMB, CRDB, NBC, SCB, CitiBank ) anza career yako hapo. Waoneshe kwamba wewe uko fit, departments za kuingia bank ni Treasury na Credit ukiweza.
Sababu ni departments ambazo zinatengeneza income ya bank kwa uwazi zaidi, hivyo ni rahisi ku prove contribution yako ikoje kwenye overall income ya bank. Tofauti na departments zingine ambazo ni supporting, visibility inakuwa finyu sana.
Banking industry is really paying, huo ni uhakika nakupa.
Sijutii maamuzi yangu ya kuacha kufanya Telecom
 
hamna sehemu ngumu ya kutoa uamuzi kama hii.....mi nakushauri tulia na ukasome kitu ambacho roho yakoimeridhia...otherwise zote hizo ziko poa,lakin kama ni kwa level ya degree ningeshauri ukasomee petrolium engineering au electical pale udsm..narudia tena sikiliza moyo wako!!
 
Nakubaliana na wazo kasome BAF au B.COM Finance au Accounts, piga GPA above 4.0 kama upo mzumbe. Ingia zako auditing firm au bank kubwa kubwa ( NMB, CRDB, NBC, SCB, CitiBank ) anza career yako hapo. Waoneshe kwamba wewe uko fit, departments za kuingia bank ni Treasury na Credit ukiweza.
Sababu ni departments ambazo zinatengeneza income ya bank kwa uwazi zaidi, hivyo ni rahisi ku prove contribution yako ikoje kwenye overall income ya bank. Tofauti na departments zingine ambazo ni supporting, visibility inakuwa finyu sana.
Banking industry is really paying, huo ni uhakika nakupa.
Sijutii maamuzi yangu ya kuacha kufanya Telecom

Be realistic brother ni wangapi wanaogtaduate kwa kiwango unachokisema hicho? The way your putting it ni kama vile huyu jamaa anakua na uwezo wa kuchagua kazi vile wakati in reality its the other way round kabisa..kazi zenyewe shida kila kitu sio rahisi kama unavyosema..!!ushauri ndugu wewe tulia sikilizia hayo matokeo ya form 6 uone wapi afadhali umalize kitu..sio blah blah blah..nyingi halafu life sio kutafuta kazi tu..au kufanyia kazi watu then mnastaafu mnaskilizia kiinua mgongo..tu over..!!
 
Dogo fuata ushauri wa mwanzo kabisa,, nenda zako Mzumbe BAF au UDSM b com accounts piga zako ma gpa ingia zako auditing firm kaanze safari yako ya career,,, hizo telecom sijui computer science zilikuwa zamani... Now days chaka tu kampuni haziajiri mafundi zina outsource kwa kampuni ndogo ndogo za wahindi like powercomputer, infotech etc,, na hata za simu zina outsource kwa vikampuni vidogo kama prime power, mactech etc,,,, so degree za ufundi miaka ya sasa unapotea utaishia vikampuni vidogo vyenye mishahara kidogo
Acha kudanganya watu wewe,unajua graduate wa Accounts wako wangapi hapa Tanzania? Karibia kila chuo kinafundisha accounts so ushindani ni mkubwa sana kwenye soko la ajira kwenye Account,then sidhani kama ni ukweli watu wa-IT wana mishahara midogo,wengi waliosoma Account wameishia kuwa ma bank-teller
 
Acha kudanganya watu wewe,unajua graduate wa Accounts wako wangapi hapa Tanzania? Karibia kila chuo kinafundisha accounts so ushindani ni mkubwa sana kwenye soko la ajira kwenye Account,then sidhani kama ni ukweli watu wa-IT wana mishahara midogo,wengi waliosoma Account wameishia kuwa ma bank-teller


vipi kwa wanaochagua kusoma IT!
JE NI COARSE NZURI?
 
vipi kwa wanaochagua kusoma IT!
JE NI COARSE NZURI?
Hakuna course mbaya but kuna ushindani mkubwa sana kwenye soko la ajira tofauti na huyo jamaa alivyosema hapo juu.Cha msingi sikiliza moyo wako na chagua masomo ambayo utayamudu na usome kwa bidii na ufaulu
 
mawazo mazuri! Ahsante kwa wote... Kwasasa ni kweli nahitaji kuchagua kile kitu napenda toka moyoni! Kama mkuu LORDVILLE alivyo sema hapo juu!
 
Kasome theology kama padri slaa ukipata kitengo unapiga pesa then unasepa
 
BAF imetoka wapi? ameuliza kati ya A na B watu wanajibu C,duh!.
Anyway,hizo course mbili hazina tofauti kubwa kwenye upande wa kazi,graduate wa zote mbili wanaweza kufanya kazi departement moja au hata kazi moja(sometimes).Hata kwenye upande wa ajira misharaha yao haina tofauti sana.Kuhusu wewe,inategemea na unapenda nini kama unapenda mambo ya network ningekushauri soma Telecom,pia mambo ya frequency,na kwa ukubwa mobile network yenyewe.Ukienda pale TCRA utakuta watu kama NETWORK ENGINEER,FREQUENCY ENG, etc.pia mambo ya Routing and Switchin huo ndio uwanja wao.
Upande wa Computer Science kama wewe ni mzuri kidogo au unapenda kuprogram basi usisite,unaweza kuwa Software Eng,programmer,computer analyst,IT engineer,etc .
As i said unaweza kuwa any of the above ukisoma any of the two kwasababu bado kunahitajika experience na higher studies kama masters na proffesional certification.
waatalamu watakusaidia zaidi,ushauri wangu pia achana na hao wanakuletea baf wasifanye usifikie malengo yako.Kila mtu akisoma Baf nani atakuwa doctor,engineer,etc?
 
BAF imetoka wapi? ameuliza kati ya A na B watu wanajibu C,duh!.
Anyway,hizo course mbili hazina tofauti kubwa kwenye upande wa kazi,graduate wa zote mbili wanaweza kufanya kazi departement moja au hata kazi moja(sometimes).Hata kwenye upande wa ajira misharaha yao haina tofauti sana.Kuhusu wewe,inategemea na unapenda nini kama unapenda mambo ya network ningekushauri soma Telecom,pia mambo ya frequency,na kwa ukubwa mobile network yenyewe.Ukienda pale TCRA utakuta watu kama NETWORK ENGINEER,FREQUENCY ENG, etc.pia mambo ya Routing and Switchin huo ndio uwanja wao.
Upande wa Computer Science kama wewe ni mzuri kidogo au unapenda kuprogram basi usisite,unaweza kuwa Software Eng,programmer,computer analyst,IT engineer,etc .
As i said unaweza kuwa any of the above ukisoma any of the two kwasababu bado kunahitajika experience na higher studies kama masters na proffesional certification.
waatalamu watakusaidia zaidi,ushauri wangu pia achana na hao wanakuletea baf wasifanye usifikie malengo yako.Kila mtu akisoma Baf nani atakuwa doctor,engineer,etc?

nashukuru kwa uelewa wako! We ndio umenishauri vizuri had nimependa! naona nimepata kitu kizuri kutoka kwako
 
Back
Top Bottom