computer maintanance

ruko dkerwa

Member
Joined
Mar 23, 2012
Posts
6
Reaction score
0
Msaada,,kompyta yangu imegoma kuboot nifanye nn? ni LENOVO. Bado ni mpya coz nimenunua mwaka wa jana mwezi wa tisa.
 
Msaada,,kompyta yangu imegoma kuboot nifanye nn? ni LENOVO. Bado ni mpya coz nimenunua mwaka wa jana mwezi wa tisa.
  • KWenye screen ukiwasha unatokea ujumbe gani?
  • Au kuna sauti gani unasikia.(beep)
  • Lenovo ni brand name na ina model model nyingi hiyo lenovo yako ni model gani

Otherwise kama mwenyewe una utaalam anzia kwen tovuti ya lenovo dodosa wenye kipengle cha support (Lenovo Support - Diagnose and Fix (US) )
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…