ruko dkerwa Member Joined Mar 23, 2012 Posts 6 Reaction score 0 Mar 24, 2012 #1 Msaada,,kompyta yangu imegoma kuboot nifanye nn? ni LENOVO. Bado ni mpya coz nimenunua mwaka wa jana mwezi wa tisa.
Msaada,,kompyta yangu imegoma kuboot nifanye nn? ni LENOVO. Bado ni mpya coz nimenunua mwaka wa jana mwezi wa tisa.
Mtazamaji JF-Expert Member Joined Feb 29, 2008 Posts 5,937 Reaction score 1,444 Mar 24, 2012 #2 ruko dkerwa said: Msaada,,kompyta yangu imegoma kuboot nifanye nn? ni LENOVO. Bado ni mpya coz nimenunua mwaka wa jana mwezi wa tisa. Click to expand... KWenye screen ukiwasha unatokea ujumbe gani? Au kuna sauti gani unasikia.(beep) Lenovo ni brand name na ina model model nyingi hiyo lenovo yako ni model gani Otherwise kama mwenyewe una utaalam anzia kwen tovuti ya lenovo dodosa wenye kipengle cha support (Lenovo Support - Diagnose and Fix (US) )
ruko dkerwa said: Msaada,,kompyta yangu imegoma kuboot nifanye nn? ni LENOVO. Bado ni mpya coz nimenunua mwaka wa jana mwezi wa tisa. Click to expand... KWenye screen ukiwasha unatokea ujumbe gani? Au kuna sauti gani unasikia.(beep) Lenovo ni brand name na ina model model nyingi hiyo lenovo yako ni model gani Otherwise kama mwenyewe una utaalam anzia kwen tovuti ya lenovo dodosa wenye kipengle cha support (Lenovo Support - Diagnose and Fix (US) )