Wakuu nawapa heshima iliyotukuka kabisa.
Binafsi naelewa sana mchango wenu kwenye huu ulimwengu japo bongo inaonekana mnasinzia sana.
Swali la leo.
1. Chuo gani bongo kinafundisha Artificial Inteligence (AI) and Machine Learning kuna mdau kutoka nchi za duniani huko kaniuliza hilo swali na kaomba nimsaidie kutafuta taarifa.
2. Naweza pata wapi course contents ya hizo course (Mwenye nayo atupie hapa).
Mwisho: Hii ni fursa kubwa sana huenda ikawashukia so tuchangamke kuleta data hapa za kweli.
Karibuni