newmzalendo
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 1,378
- 550
nimetembelea eneo la nyumbani lounge kwa lady JD leo jioni-sunday.nilipitia na wife kwa lengo la kula na kunywa.around saa 12.45 jioni.hapo nje pana binti ana risit book amekaa mkao wa kutoza kodi ya kiingilio,nikaamua kwenda next door na nyumbani lounge.
hapo kuna restaurant/bar inaitwa Wambua's huduma ni fasta sana na chakula kizuri.nikaona makundi ya watu wanatoka nyumbani lounge kuja kula wambua's lounge then wanarudi kwa lady JD.
kwangu mimi sikuona sababu ya kulipa kiingilio saa 12 jionikuingia kula,pia ukizingatia nilishasoma hapa JF kuwa kuna very poor customer service ya chakula - nyumbani lounge
hapo kuna restaurant/bar inaitwa Wambua's huduma ni fasta sana na chakula kizuri.nikaona makundi ya watu wanatoka nyumbani lounge kuja kula wambua's lounge then wanarudi kwa lady JD.
kwangu mimi sikuona sababu ya kulipa kiingilio saa 12 jionikuingia kula,pia ukizingatia nilishasoma hapa JF kuwa kuna very poor customer service ya chakula - nyumbani lounge