Give me proof SHY who owns a PC in Tanzania more than me?i usually use it for general usage!
Mine is,
Mac book pro 17 inch made from alminium block, 8Gb ram,
3.2 Ghz dual core
1 tera byte, Nvida 9400
On Battery u can use up to 10hours.
i think u can fool me right i have checked on the net and there is no mac book pro of 8 gb of ram and until today there is no any mac book released with 3.2ghz CPU!! ur such a liar! and Nvidia 9400M sucks man and even laptops like these will never reach my pcs performance.so you guys loose?Mine is,
Mac book pro 17 inch made from alminium block, 8Gb ram,
3.2 Ghz dual core
1 tera byte, Nvida 9400
On Battery u can use up to 10hours.
ahaa iyo nzuri kwako teh teh teh tehteh, teh teh, mimi natumia Dell Pentium II, 360Mhz, 128mb Ram, 10gb hdd, 19'' Acer Flat Screen nahisi ipo poa sana
Ok mimi nimetaka kujua tu nani mwenye system zaidi yangu hapa Dar es Salaam?
My pc is
Intel QuadCore Q6600 3.0GHZ
4.0GB of ram
750GB HDD
Nvidia 260GTX 216 cores AMP2! Edition
Benq E900W Flat Screen 19 Inch
Any rival?
Teh teh teh teh.....ThinkPad...itakuwa keyboard yake ndio hiyo kwenye avatar...ila hiyo ni noma....Mkuu Juu....ninayo tumia kwa sasa...hapa kwa office...it the same like yours....Loaded with 5 software each one take about 4gb space...only this can tell you....
i think u can fool me right i have checked on the net and there is no mac book pro of 8 gb of ram and until today there is no any mac book released with 3.2ghz CPU!! ur such a liar! and Nvidia 9400M sucks man and even laptops like these will never reach my pcs performance.so you guys loose?
Hicho cha mtoto, m-PM juaKali akuonyeshe madude. Jamaa anatisha niliingia maskani kwake ana dude jipyaaaa. Alienware. Nafikiri process yake ina uwezo kununua system yako mzima! "Intel Core i7 975 Extreme 3.6 GHz) na video card HD 5870 ATI Eyefinity. RAM 24GB.
Sasa kila mtu anakuja na yake hapa sasa mimi natumia Super Computer ambazo nilitoka nazo Nasa America
we Computer yako yenye Laptop heheh sijawahi kuona chizi kama wewe huwezi kufananisha desktop na laptop ni za Officini tu!!! you ***!! laptop processor yako yenye dual core!! hehe ya 2006 halafu ni mobile processor sasa ambayo its very low in performance!! yangu its desktop and a QUAD core!!!!!!!!!! do you know what a quad core means you *****!!! emnenda kalale na latop yako huko sitaki ata kucompare na vilaptop kama hivyo vya kitoto!Ndio maana JF huwa naiona kama shule,
link hizo bab,
http://cgi.ebay.com/The-all-new-17-...2QQcmdZViewItemQQssPageNameZRSS:B:SRCH:US:102
http://www.apple.com/macbookpro/specs.html
Ahhh hiyo nimeangalia kwenye website ya apple yako wewe ina 2.53 ghz ahhah
And it has HDD mpaka 500gb tu that you didnt reach mineS!
http://www.designtalkboard.com/design-hardware/macbookpro_ram.php