Comparing Tanzanian mobile internet costs

Comparing Tanzanian mobile internet costs

kwa watumiaji wakubwa na prefer vodacom wenye bomba 7 na bomba 30 unlimited
lakini kwa hapo vyote ghari kwelikweli
wanoitaji window 8 ninayo maelewano
na Office 2013 pia ipo maelewano

humu tunagawa bure hatutaki pesa hebu pitia thread nyingne nimeweka uzi huu
 
kwa watumiaji wakubwa na prefer vodacom wenye bomba 7 na bomba 30 unlimited
lakini kwa hapo vyote ghari kwelikweli
wanoitaji window 8 ninayo maelewano
na Office 2013 pia ipo maelewano

weka link wewe... Huwa hatununui
 
weka link wewe... Huwa hatununui


Ntaweka link ambayo haipo ndugu
ukinunua unapewa linki ambayo hata nikupa haisadii mpaka uwe na code
nenda microsoft.com then nunua utapata kila kitu.

 
Nahitaji hiyo window 8 na msaada zaidi kwenye baadhi ya mambo kwenye lap top yangu
 
Mkuu, ebu tuacha kuwadanganya watu binafsi nimeshusha window8, Microsoft office 2013 na mambo mengine mengi kwa Sh 200tu, kupitia wajanja night ninazo tayari Mwana jamii yeyote anayetaka ni yeye tu kunipa Flash disk yake au empty DVD nampatia bure. Kama hayo yote yakishindikana namwambia kama una MODEM inayoweza kuconnect Vodacom, basi nenda http://www.kat.ph au http://www.thepiratesbay.se, ukisaidiwa na Torrent basi utazipata bure. Program zote tunazotumia nyingi ni zamagendo hivyo sitarajii kusikia kuwa wewe ni authorized na Microsoft kuuza hizi programs.
 
Back
Top Bottom