Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,157
- 10,828
- Thread starter
- #21
Kwi kwi kwi inaelekea mtabiri maarufu Afrika, Sheikh Yahya Hussein, alikuachia mikoba yake. Na MACCM pamoja na madudu yote haya shilingi kushuka thamani katika miaka kumi toka T. Shs 1,169 mpaka 2,000 na deni la Taifa kuongezeka toka Trilioni 10 na kufikia Trilioni 40 imeshapoteza Wabunge wangapi!?
BAK CCM imepoteza serikali yote, wabune wote na madiwani wote
its up to us to go and get what belongs to Tanzanians.......CCM wakiingia tena ikulu ni serious failure au weakness ya upinzani. uko sahihi kabisa hao CDM kupoteza viti ni uzembe wao na kutojipanga. Taasisi inasumbuka kupigana na ka individual, waberoya yuko hapa kuwaamsha nothing less nothing more