Comoro: Shein awekwa Baka Bencha

Mnajitaidi kuficha aibu lakini hapa mtu mzima kaibika na hii ndio gharama ya kula kharamu. Teh teh teh eee
 
duh ilibaki tu kumwagiwa shombo la samaki! halali yake lakini maana hata Sugu wa Mbeya alimzidi kura
 
Wamefanya hivyo wakijua kuwa huyo katumwa tu Yaani katumwa kama balozi ndiyo maana katupwa kule nyuma kwenye kunguni
Hahahaha, umenichekesha sana.
Katupwa wapi huyu Diwani wa mchambawima?
 
Kwanini amuwakilishe rais Magufuli wakati na yeye ni rais alitakiwa kuwa na mwaliko wake binafsi! Inakuwaje rais amuwakilishe rais?
Hii ndio mifumo chonganishi na kharamu zilizowekwa na ccm. Ndio maana wazanzibar wanalilia mamlaka kamili lakini wachumia tumbo kama hao walioaibishwa hawaoni hilo wenyewe wanajali mamlaka badala ya heshima ya nchi yao.
 
Aiseee, watajuta kupora ushindi wa maalim Seif
 
Hahahahaaa akili za baadhi ya wana ccm ni kama mfu..kitu gani umeandika aibu tupu na bure kabisa.
 
Asanteni sana Comoro kwa kuwaheshimu wazanzibar .
 
Hahahaha, umenichekesha sana.
Katupwa wapi huyu Diwani wa mchambawima?

Haya sio diwani tu hata yule wa huku bongland alienda london akaishia kuongea na watanzania wa UK..na juzi pia huko Zambia...haya ni kote kote...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…