Community Journalism anguko la wahafidhina wa CCM

Community Journalism anguko la wahafidhina wa CCM

hakuna kitu kingine useless katika umoja wa waTanzania wote gentleman,

kwasababu 99.9% tumezaliwa Tanzania na hakuna kitu kingine nonsense tunaweza kubabaika nacho zaidi ya Tanzania 🐒
Mashoga na mapumbavu ya ccm hayana nafasi yoyote kwenye hii Dunia
 
huo ushirikina wa sijui mvuto au vinginevyo nadhani muendelee nao ninyi kwa nyinyi gentleman na itapendeza zaidi.

kama taifa,
tunasonga mbele kwa umoja bila kubabaika na porojo useless kama hizo :NoGodNo:
Mashoga na mapumbavu ya ccm hayana nafasi yoyote kwenye hii Dunia
 
CCM inatumia kila njia kuua uandishi asilia (conventional journalism) ili isikosolewe hadharani na habari mbaya kuwahusu zisiwafikie watanzania.

Na CCM kwa upotofu wao hutumia mfano wa China kama kielezo cha kwa nini wao wanaminya uhuru wa watu kupata taarifa.

CCM hupenda kutumia msemo nusu wa "uhuru bila mipaka ni vurugu" bila ya kukamilisha nusu nyingine ya msemo huo kuwa "mipaka kwenye uhuru ni udikteta"

China hawajazuia watu wao kutoa maoni na wala hawazuii vyombo vya habari kutoa taarifa za mafisadi na ufisadi.

Sasa kumekuwa na uandishi wa kijamii (community Journalism) uandishi ambao CCM wameshindwa kuuzuia.

Wakati wahafidhina ndani ya CCM wamefanikiwa kivinyamazisha vyombo vikuu vya habari, (mainstream media)uandishi wa habari wa kijamii umewapiga daflao CCM.

CCM wapo nyuma ya wakati kila wakati.
Nimuna wa kuiona fursa hiyo ya community junalism na kuitumia vilivyo,utajiri upo huku na sii kwenye ufisadi wizi na siasa za kishamba.
 
CCM inatumia kila njia kuua uandishi asilia (conventional journalism) ili isikosolewe hadharani na habari mbaya kuwahusu zisiwafikie watanzania.

Na CCM kwa upotofu wao hutumia mfano wa China kama kielezo cha kwa nini wao wanaminya uhuru wa watu kupata taarifa.

CCM hupenda kutumia msemo nusu wa "uhuru bila mipaka ni vurugu" bila ya kukamilisha nusu nyingine ya msemo huo kuwa "mipaka kwenye uhuru ni udikteta"

China hawajazuia watu wao kutoa maoni na wala hawazuii vyombo vya habari kutoa taarifa za mafisadi na ufisadi.

Sasa kumekuwa na uandishi wa kijamii (community Journalism) uandishi ambao CCM wameshindwa kuuzuia.

Wakati wahafidhina ndani ya CCM wamefanikiwa kivinyamazisha vyombo vikuu vya habari, (mainstream media)uandishi wa habari wa kijamii umewapiga daflao CCM.

CCM wapo nyuma ya wakati kila wakati.
📌🔨
 
Gentleman,
huu upotoshaji ni mwepesi mno na hauna athari zozote zile kisiasa, kijamii au kiuchumi nchini.

in fact,
this may be one of the most ridiculous posts of the day. :NoGodNo:
Mkata viuno kazini Leo nakupa jina jipya MSEMAJI WA WACHAWI PUNGA LESS
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom