Doubleg Malafyale
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 3,185
- 4,388
Ukiingia tamisemi yapoWekeni basi hayo majina tuone
Ukiingia tamisemi yapoWekeni basi hayo majina tuone
Ndo tatizo la mitandao ya jamii.Nkipewa mtihani na wewe cjui kam hata kama utanifikia hata robo
Siyaoni niwekee link basi niangalieUkiingia tamisemi yapo
Mama SabrinaSiyaoni niwekee link basi niangalie
Nimeona ,asanteMama Sabrina
Yapo ingia www.tamisemi.go.tz afu cheki palipoandikwa ANGALIA pana red colour pamewekwa majina ya kidato cha tano awamu ya tatu na ya pili afu na ajira mpya kada za afya November 2017
Mkubwa dawa lakini we ulivo anza ndo namie nkamaliza et Dr shika nsamehe kumbeNdo tatizo la mitandao ya jamii.
Nilichokiona hapa wewe unaamini mimi ni ndogo kwako au nipo shule nasoma hiyo kozi kwa sababu tu nilikuhoji maswali kuhusu hiyo kozi
Sina lengo la kukudharau mdogo wangu maana ndo kiwango chako cha elimu ulipofikia
Kwa kifupi mm Nina kijana wangu nimempeleka hiyo kozi huu mwaka,
Nikwambie tu mimi sio umri wako wala level yako kielimu
Mimi niligraduate miaka mingi iliyopita na niko kwenye maisha sasa na Nina familia,kwa hiyo sikushangai sana kwa unachowaza kuhusu mimi maana vijana kama wewe Niko nao nyumbani na ndio umri wako,fresh age huwa inasumbua sana
Nimeamin hayo baada ya kukaa muda mrefu bila kuona ajira zake hatimaye n wahudumu WA afya 15 tu walio ajiliwa na haijulikani wamepatikanaje mh kumbe undugunization na kujuanization bado kupo imekula kwetu makapuku aka tusojulikana
![]()
Ata wakianzia uko siyo mbaya kuliko kuachwa kitaa wakati coz wameanzisha wenyewe wakidai wanawahitajiCommunity mtaajiriwa kama medical attendant tuombe mungu