OkNimesoma singida medical training centre sio desa
OKUjaona hapo nimeweka watu 30 walioajiriwa wizara ya afya wanaitwa community health (wahudumu WA afya ngaz ya jamii)
Afu kozi mpya hiyo panahitaji uvumilivuNafanya pia kama health worker
Elimu na afya hakuna interview mamaNa lile tangazo la ajira walilitoa mwezi wa 8,,waliitwa lini kwenye interview ? Au ndio hawa tayari washachaguliwa
Kumbe aiseeNdyo cc
Sijakuelewa hapaKwani we unafanya mtihani sahiz et wew sio darasa LA nne
Kwa hiyo hizi ndio nafasi alizotangaza Ummy mwezi wa 8,,?Elimu na afya hakuna interview mama
Na ndio maana huku ndio kulikuwa chaka ya wenye vyeti feki na waliotumia vya ndugu,maana wao wanawapangia tu kazi bila interview ful mteremko
YesiKwa hiyo hizi ndio nafasi alizotangaza Ummy mwezi wa 8,,?
Hatujaelewana kwakwer