kubwalamaadui
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 328
- 51
Chukua binge LA faivuumeona ehe.
no wivu na hamna kukosa hamu ya kula kila siku.
full mi raha.
akiwa na kipesa chake cha kukutoa out,ahhhhh.
nyumba yenu itakuwa na amani,maana hakuna ugomvi wala mambo ya kutafutana.
Me wakati mwingne naona bora kuleteana magonjwa kuliko kuletewa,uko tu ndan umetulia na ukijtuma kama mke mwema wakat nje mwanaume anafanya yake..sasa mkipishana guest atakuwa anakukomoa au anajikomoa! ngoja akakichoshe kipochi manyoya chake na mleteane magonjwa ndani. hana akili huyo.
nilikuwaga sijui ila na mie tajifunza sasa kumbe kuna raha sana.
Chukua binge LA faivu
Ukishakua na mfariji au kidumu nje ni ngumu sana kubalance na ndani ukawa ukawa uko kawaida,vidumu huambatanaga na changesnasisitiza uvumilivu ni mhimu,alianza kucheat na kuchelewa home.muulize kwanza kwa upole angalau mpaka mwaka unapita abadiliki CHAKUFIA!
NA PIA KIDUMU HAUTAKIW KUKURUPUKA KUMTAFUTA NI TARATBU ILI AWE MFARJ KWELI SIO AKULETEE STRESS TENA.
UKIJIPATIA KIDUMU USISAHAU FAMILIA YAKO ZDSHA MAPENZ KWA MUMEO ILI AJISHTUKIE MBONA UNA RAHA SIKU HIZI KUMBE UMEBALANCE EQUTN.
Lord have mercy!!!!
Kwa sasa unaweza usiwe na comment lakini ndoa itakapokuja nahisi comment zako zitavuja hapa jamvini kama sio kumwagika.
Nimekupa binge LA laikiiiiiUmenikosha sana kubwa la maadui......... kidumu kiwe mume wa mtu lol utaenjoije???? Kina stress kwa mkewe huko, mahabati kinajua na ATM inasomeka......... mbona wivu wa kijinga wa kumpekua mumeo mara simu mara umekula wapi, utausikia JF tuu!!
Ila cheating lakini responsibly!!!!
Habari ndiyo hiyo........ mambo ya kuozesha mito na machozi hakunaga siku hizi!! Simu zimesaidia sana kurahisisha mambo!!!!
Eti unabeba mabegi unaenda kwenu, kufanya nini????? Na watoto utawarudisha tumboni????
Tutabanana hapo hapo...... Wala hakuna kuomba talaka.....
Badala ya kwenda kwenu, aga vizuri kwa hubby unasafari ya kikazi au biashara.....
Nenda kabinuliwe binuliwe weee mpaka roho isuuzike, rudi tulia na hubby lol!!!
dawa yake huyo mzalie tu watoto wa nje kibaooooooooooo!!dadeki
nasisitiza uvumilivu ni mhimu,alianza kucheat na kuchelewa home.muulize kwanza kwa upole angalau mpaka mwaka unapita abadiliki chakufia!
Na pia kidumu hautakiw kukurupuka kumtafuta ni taratbu ili awe mfarj kweli sio akuletee stress tena.
Ukijipatia kidumu usisahau familia yako zdsha mapenz kwa mumeo ili ajishtukie mbona una raha siku hizi kumbe umebalance equtn.
Leave children out of the picture. They are innocent.dawa yake huyo mzalie tu watoto wa nje kibaooooooooooo!!dadeki
Leave children out of the picture. They are innocent.
matumizi kama kawaida japo mapenzi watamissWala hyo siyo dawa maana utakua unajikomesha mwenyewe na kuwatesa hao watoto wa nje,ambao hawana hatia
Now that depends on how good you are.Ukishakua na mfariji au kidumu nje ni ngumu sana kubalance na ndani ukawa ukawa uko kawaida,vidumu huambatanaga na changes