Coming Soon to Bongo. Recognize the owner?!.

Rural Swagga

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
1,579
1,080
dm.jpg
 
Huyu Davis Mosha naona sasa anataka kufanya kufuru nyingine...wapi King Kong III na gfsonwin

attachment.php
mdogo wangu huyu jamaa, ukweli huwa ananichapa fimbo sana na mambo yake.

Ila siku hizi nimejifunza kutokutamani maisha ya watu yenye manjonjo manake bana huwez jua wanapata shida gani kwa mumiliki pesa hizo ama mali hizo. mwanzoni nilipata tabu sana as nilikuwa nasemaga hivi mtu anafanya fanyaje hadi naweza kumiliki gari zuri kama hili?? na kwann mm siwezii kwani nakosea wapi??

nikaja kugundua weeeeeee....................hawa wenye haya waacha kama walivyo siri zao wanazijua wenyewe. siku hizi nimebaki kuwapongeza tu kwamba Davis kaka yangu hongera sana.
 
Ile gari yake ya mwanzo ilikuwa yachubuliwa na deiwaka wa daladala, ila hili sasa nadhani hata siye wenye mikweche yetu hatukawii kulichubua kwa kupigwa na bumbuwazi ya kulishangaa!!

mdogo wangu huyu jamaa, ukweli huwa ananichapa fimbo sana na mambo yake.

Ila siku hizi nimejifunza kutokutamani maisha ya watu yenye manjonjo manake bana huwez jua wanapata shida gani kwa mumiliki pesa hizo ama mali hizo. mwanzoni nilipata tabu sana as nilikuwa nasemaga hivi mtu anafanya fanyaje hadi naweza kumiliki gari zuri kama hili?? na kwann mm siwezii kwani nakosea wapi??

nikaja kugundua weeeeeee....................hawa wenye haya waacha kama walivyo siri zao wanazijua wenyewe. siku hizi nimebaki kuwapongeza tu kwamba Davis kaka yangu hongera sana.
 
:bored::bored::bored:.....AKIINUNUA HII BASI NITAMHESHIMU......MRSP YAKE NI $990,000

Pagani-Zonda_F_2005_photo_01.jpg


EngineMercedes-Benz AMG 12 cylinder V 60°; 48 valves; displacement 7291 cc
Max. Power(kW) hp/rpm: (443) 602/6150
Max. TorqueNm/rpm 760/4000
Weight-to-Power ratio2,04 kg/hp
Clubsport-version*(kW) hp/rpm (478) 650/6200; Nm/rpm: 780/4000; weight-to-Power ratio: 1,89 kg/hp
Intake manifoldAluminium hydroformed alloy/avional MHG-System; exhaust manifold in hydroformed steel/inconel
TransmissionLongitudinal mid engine; rear wheel drive with self-locking differential
ClutchTwin plate clutch
GearboxMechanical 6 speed (+ reverse)
Brakes4 ventilated Brembo disks, hydraulic power brake
Steel brakesFront 380x34 mm 6 piston caliper; rear 355x32 mm 4 piston caliper
Carbon-ceramic brakes*Front 380x34 mm 6 piston caliper; rear 380x34 mm 4 piston caliper
SteeringTRW rack and pinion power assisted
WheelsForged aluminium/magnesium alloy APP wheels; 19" front, 20" rear
TyresMichelin Pilot Sport 2: front 255/35/19; rear 335/30/20
Suspensions4 independent wheels with double A-arm; pull rod helical springs and Öhlins adjustable shock absorbers; anti-roll bar; aluminium/magnesium alloy suspension arms
StructureCentral carbon fiber chassis; front and rear Cr Mo space frames; carbon fiber "MD System" bodywork panels
DimensionsLength 4435 mm; width 2055 mm; height 1141 mm; wheelbase 2730 mm; dry weight 1230 kg (without Comfort Pack and with CCM brakes)
Weight distribution46% front; 54% rear
Downforce~600 kg at 300km/h (Clubsport version); downforce distribution: ~270 kg front; ~330 kg rear
Vehicle-Diagnosis*TMD remote diagnosis; Texa Mobile Diagnostic
SafetyABS/Traction Control Bosch; central carbon fibre safety; cell with steel and carbon fibre roll bar; front and rear impact energy absorbing structure in carbon fibre and Cr Mo
PerformanceAcceleration 0-100 km/h 3,6 sec.; 0-200 km/h 9,8 sec.; Lateral g's: 1,4 g with SPORT setting; Braking 200-0 km/h: 4,4 sec.; Top speed: > 345km/h

<tbody style="margin: 0px; padding: 0px; border: 0px; outline: 0px; vertical-align: baseline; background-color: transparent;">
</tbody>
 
Ile gari yake ya mwanzo ilikuwa yachubuliwa na deiwaka wa daladala, ila hili sasa nadhani hata siye wenye mikweche yetu hatukawii kulichubua kwa kupigwa na bumbuwazi ya kulishangaa!!

spati pich na ka shoti chases changu eti niko nae kwenye folen pemben yake..............
mweeeh!!!!!!!!!!!!
haya maisha bana sijui. lkn hivi lile jingine kaliuza ama??
 
nilijua tu kwa style hiyo lazima apete. Ila kama ndo anataka kwenda mabwepande lazima apaki mzigo home.

Mkuu akienda huko ujue kuna usafiri mwingine mathalani huo hapo juu nimeweka picha....huyu mtu ana hela ndugu yangu magari kwake si tatizo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom