"confess"!? kwangu mimi Mmatumbi?! no way mazee hata anikute kwenye nje-ndani bado nitabisha. Ukweli ni kwamba ukibisha inaonyesha bado unamjali mwenzio na unahitaji bado uwepo wake, uki confess maana yake ni kama kumwambia ndiyo nimefanya amua unachotaka.
Najua ile it was just sex,but u love me,isn't it darling?
Eiyer uwongo utakaookoa ndoa halali unaruhusiwa mkuu, ndoa ni kitu kitakatifu- kwetu tunaambiwa talaka ni halali inayomchukiza mwenyezi mungu!Kijana mbingu hutaiona kamwe!
MadameX, Na-confess kwamba, baada ya kubadili avatar yako natamani tuoane! :israel: