Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Siasa ni mchezo mchafu sana, na wanasiasa hawaaminiki wala hawaaminiani kamwe... Kwenye siasa hakuna adui wala rafiki wa kudumu..
Ikumbukwe Mwaka 2015 Benard Membe alikatwa kwenye kinyang'anyiro cha Urais kupitia CCM..Baadae akahamia ACT Wazalendo japo hakutoboa.
Leo October 2021 nimeona Majaliwa yupo Rondo kwa Kijijini kwa Membe. Ikumbukwe hawa wanatoka Mkoa mmoja. Ikumbukwe pia, JK na Membe ni ndugu wa damu.
Mwakani 2022 ni Uchaguzi wa ndani ya CCM, ni muda muhimu wa kupanga safu ya 2025.
Leo Membe ametamka kabisa atarudi CCM. Akirudi maana yake...!?
Muda utaongea
Ikumbukwe Mwaka 2015 Benard Membe alikatwa kwenye kinyang'anyiro cha Urais kupitia CCM..Baadae akahamia ACT Wazalendo japo hakutoboa.
Leo October 2021 nimeona Majaliwa yupo Rondo kwa Kijijini kwa Membe. Ikumbukwe hawa wanatoka Mkoa mmoja. Ikumbukwe pia, JK na Membe ni ndugu wa damu.
Mwakani 2022 ni Uchaguzi wa ndani ya CCM, ni muda muhimu wa kupanga safu ya 2025.
Leo Membe ametamka kabisa atarudi CCM. Akirudi maana yake...!?
Muda utaongea