Benny
JF-Expert Member
- Jun 6, 2014
- 3,275
- 5,414
We ulitaka wangapi? Huyo huyo mmoja anatosha bwana.Ebo!! Yani mtt mmoja tu ndo unalalamika hivyo..
Duuh..Tuongeze hata wawili basi..Ya Mungu mengi bana..Just in caseWe ulitaka wangapi? Huyo huyo mmoja anatosha bwana.
Ukijumlisha na big doughter washakuwa walili, burudaniiii.Duuh..Tuongeze hata wawili basi..Ya Mungu mengi bana..Just in case
Ukijumlisha na big doughter washakuwa walili, burudaniiii.
Kwani akimchukua anakuwa sio mtoto wetu? Atabaki kuwa wetu tu, unahesabu tu unadhani raha eeh?Teh teh..Huyo usimuhesabie sana..Mama ake anaweza kuja anytime na kumchukua
Haya bana chauvivu..Mi sina nongwaKwani akimchukua anakuwa sio mtoto wetu? Atabaki kuwa wetu tu, unahesabu tu unadhani raha eeh?
Hahahaaaa! Sasa ole wako!!Haya bana chauvivu..Mi sina nongwa
Teh teh..Mimi tena au ww?Hahahaaaa! Sasa ole wako!!
Wewe hapo!Teh teh..Mimi tena au ww?
Duuh..Tuongeze hata wawili basi..Ya Mungu mengi bana..Just in case
Mimi vipi tena..Kama ww umekataa itaingiaje?Wewe hapo!
Mifuko itahusika.Mimi vipi tena..Kama ww umekataa itaingiaje?
Teh teh..TutajaribuMifuko itahusika.
Teh teh...Waziri wa jf amekataza live coverage broHahaha....
Msitufanyie hivyo kusitisha hii LIVE kama ni gharama sisi ndio walipa kodi hahah
Teh teh...Waziri wa jf amekataza live coverage bro