Combination ipi inafit kwenye mahusiano?

Combination ipi inafit kwenye mahusiano?

Umri hauna chochote heshima katika ndoa hailetwi na umri wala kipato, cha msingi ni maelewano.
 
Greetings All..!

Kwetu tumezaliwa watoto 6 wa kiume! Wote wameoa isipokuwa mimi. Hapa namaanisha hata wadogo zangu wameoa.

Ishu ni kwamba kati ya wote kuna waliooa umri sawa, umri unakaribiana, na wengine wameachana miaka 10.

Point ipo hapo, upi ni umri sahihi wa kufanya maisha na mwanamke! Hapo kuna matimbwiritimbwiri nayashuhudia ktk ndoa zote na hata kwa marafiki zangu, kiasi kwamba nabaki njia panda cjui wapi ni sahihi kujishikiza, nabaki najiuliza upi ni mchanganyiko kamili kama ituatavyo hapa chini:

Umri Mwanaume Umri Mwanamke Tofauti ya Umri
1. 34 26 8+
2. 37 38 1-
3. 40 22 18+
4. 33 33 0
5. 29 20 9+
6. 34 23 11+

NB: Kwanin wenye umri usiokaribiana huwa wanakuwa na maisha mzuri na matamu kuliko wenye umri unaokaribiana?.
Kuoa sio tofauti ya umri bali pawepo upendo wa kweli ndani mwenu wote wawili
 
Ndoa sio jambo la kukurupuka wala kukurupuka (baadhi), za kileo na zamani zile (japo kwa zamani zile, zilikuwa na changamoto chache na uzuri ulikuwa ni mwingi) - Nilihaditiwa hili, mimi ni kijana bado, ila moja ya ubaya wake wa ndoa za enzi zile, unaoendelea hadi leo, ni kama hilo la mfano wa mdau hapo juu la familia kukuamulia nani wa kuoa. Narudi kwenye maada, Umri ni muhimu sana aisee kwenye ndoa kuzingatiwa, maana licha ya kuwa tunashauriwa kumuomba Mungu atujaalie mke ama mume wa maisha (kutaka mwema maana yake nawe uwe mwema, hivyo tu), ila suala la umri, hasa sisi wakaka, ni la kuzingatia sana, vinginevyo, mtajikuta mnazeeka haraka wote, hasa wadada / wanawake wengi kuwahi kuridhika na kuiachia miili yao (hapa ieleweke, unaweza kumpita mke miaka mingi, ila anao mwili tepetepe, nayo ni changamoto hiyo), ila yote ya yote ni, inatakiwa kupishana umri mrefu kidogo, walau miaka 7 hadi 13 itakuwa poa.

N:B

Mnaweza kuoana mkapishana miaka michache, ila mpo vizuri kipesa na KIMAELEWANO, na tofauti yenu isionekane. Mfano ni tofauti ya umri wa mzee Lowasa na mkewe Mama lowasa, hawajazidiana hata miaka mingi.

Ahsante!
 
Ni dhana ya kimfumo tu kuwa mwanaume ukioa mwanamke uliyemzidi umri maisha yanakuwa mazuri nionavyo mm uzuri huo unatokana na woga wa mwanamama kutokana na tofauti ya umri uliopo baina yenu na pia hali ya wanaume kutopenda changamoto kutoka kwa wake zao maana akiwa na umri mdogo kwako inakuwa raisi kumcontrol.Kikubwa heshima inatengenezwa na hayo mapenzi pia ni nyie wawili mtakaoamua yawe mazuri au shubiri,kuwa unakopenda maana kasoro hazijawahi kukosekana
 
Greetings All..!

Kwetu tumezaliwa watoto 6 wa kiume! Wote wameoa isipokuwa mimi. Hapa namaanisha hata wadogo zangu wameoa.

Ishu ni kwamba kati ya wote kuna waliooa umri sawa, umri unakaribiana, na wengine wameachana miaka 10.

Point ipo hapo, upi ni umri sahihi wa kufanya maisha na mwanamke! Hapo kuna matimbwiritimbwiri nayashuhudia ktk ndoa zote na hata kwa marafiki zangu, kiasi kwamba nabaki njia panda cjui wapi ni sahihi kujishikiza, nabaki najiuliza upi ni mchanganyiko kamili kama ituatavyo hapa chini:

Umri Mwanaume Umri Mwanamke Tofauti ya Umri
1. 34 26 8+
2. 37 38 1-
3. 40 22 18+
4. 33 33 0
5. 29 20 9+
6. 34 23 11+
Iiloesabu ni hatarii
NB: Kwanin wenye umri usiokaribiana huwa wanakuwa na maisha mzuri na matamu kuliko wenye umri unaokaribiana?.
 
oa mwanamke uliyempita kuanzia miaka 12

Unakua mume na akileta ujinga unamtandika kama Broo wake!
Mwanamke unakuwa na uoga mwingi , hauwi huru kumtania tania mpenzi au mume kuna heshima iliyopitiliza inakuwepo .Mwanaume anakuwa sio rafiki ,mshirikishaji katika mambo yake ,.
 
Mwanamke unakuwa na uoga mwingi , hauwi huru kumtania tania mpenzi au mume kuna heshima iliyopitiliza inakuwepo .Mwanaume anakuwa sio rafiki ,mshirikishaji katika mambo yake ,.
My dear speaking of something I know,its totally different kabisa yan u can be crazy together like ever the only thing needed ni mutual feelings yan hata mzidiane miaka 30 you wont even notice it.
 
Mwanamke unakuwa na uoga mwingi , hauwi huru kumtania tania mpenzi au mume kuna heshima iliyopitiliza inakuwepo .Mwanaume anakuwa sio rafiki ,mshirikishaji katika mambo yake ,.


Daaah!!...umeongea kwa tone flani hivi kama upo kwenye situation hiyo.
 
Back
Top Bottom