Combination ipi inafit kwenye mahusiano?

Combination ipi inafit kwenye mahusiano?

Ndakilawe

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2011
Posts
4,815
Reaction score
2,832
Greetings All..!

Kwetu tumezaliwa watoto 6 wa kiume! Wote wameoa isipokuwa mimi. Hapa namaanisha hata wadogo zangu wameoa.

Ishu ni kwamba kati ya wote kuna waliooa umri sawa, umri unakaribiana, na wengine wameachana miaka 10.

Point ipo hapo, upi ni umri sahihi wa kufanya maisha na mwanamke! Hapo kuna matimbwiritimbwiri nayashuhudia ktk ndoa zote na hata kwa marafiki zangu, kiasi kwamba nabaki njia panda cjui wapi ni sahihi kujishikiza, nabaki najiuliza upi ni mchanganyiko kamili kama ituatavyo hapa chini:

Umri Mwanaume Umri Mwanamke Tofauti ya Umri
1. 34 26 8+
2. 37 38 1-
3. 40 22 18+
4. 33 33 0
5. 29 20 9+
6. 34 23 11+

NB: Kwanin wenye umri usiokaribiana huwa wanakuwa na maisha mzuri na matamu kuliko wenye umri unaokaribiana?.
 
Suala la mahusiano na ndoa halina majibu straight. Kwahiyo utakapohisi unapendana na mtu na mnawezana oaneni haijalishi chochote kile,umri,majungu lawama za ndugu na marafiki and so on. Na kama ni kinyume chake basi vumilia time will tell. Umri kutofautiana unaendana na mwanaume kumuhudumia mwanamke inavyotakikana kama kuna gape hadi ya 13 obvious mwanaume maisha yatakua poa mwanamke atasumbua vipi sasa?!
 
Greetings All..!

Kwetu tumezaliwa watoto 6 wa kiume! Wote wameoa isipokuwa mimi. Hapa namaanisha hata wadogo zangu wameoa.

Ishu ni kwamba kati ya wote kuna waliooa umri sawa, umri unakaribiana, na wengine wameachana miaka 10.

Point ipo hapo, upi ni umri sahihi wa kufanya maisha na mwanamke! Hapo kuna matimbwiritimbwiri nayashuhudia ktk ndoa zote na hata kwa marafiki zangu, kiasi kwamba nabaki njia panda cjui wapi ni sahihi kujishikiza, nabaki najiuliza upi ni mchanganyiko kamili kama ituatavyo hapa chini:

Umri Mwanaume Umri Mwanamke Tofauti ya Umri
1. 34 26 8+
2. 37 38 1-
3. 40 22 18+
4. 33 33 0
5. 29 20 9+
6. 34 23 11+

NB: Kwanin wenye umri usiokaribiana huwa wanakuwa na maisha mzuri na matamu kuliko wenye umri unaokaribiana?.

Mh! napita tuuu
 
Apoo pagumu..!BT umri inayokaribiana mfano 4,2 ni shidaa..!n mtazamo wangu tu..
 
Greetings All..!

Kwetu tumezaliwa watoto 6 wa kiume! Wote wameoa isipokuwa mimi. Hapa namaanisha hata wadogo zangu wameoa.

Ishu ni kwamba kati ya wote kuna waliooa umri sawa, umri unakaribiana, na wengine wameachana miaka 10.

Point ipo hapo, upi ni umri sahihi wa kufanya maisha na mwanamke! Hapo kuna matimbwiritimbwiri nayashuhudia ktk ndoa zote na hata kwa marafiki zangu, kiasi kwamba nabaki njia panda cjui wapi ni sahihi kujishikiza, nabaki najiuliza upi ni mchanganyiko kamili kama ituatavyo hapa chini:

Umri Mwanaume Umri Mwanamke Tofauti ya Umri
1. 34 26 8+
2. 37 38 1-
3. 40 22 18+
4. 33 33 0
5. 29 20 9+
6. 34 23 11+

NB: Kwanin wenye umri usiokaribiana huwa wanakuwa na maisha mzuri na matamu kuliko wenye umri unaokaribiana?.

Simple;
Mzinzi na mzinzi mwenzake na
Mchamungu na Mchamungu mwenzake.
 
Greetings All..!

Kwetu tumezaliwa watoto 6 wa kiume! Wote wameoa isipokuwa mimi. Hapa namaanisha hata wadogo zangu wameoa.

Ishu ni kwamba kati ya wote kuna waliooa umri sawa, umri unakaribiana, na wengine wameachana miaka 10.

Point ipo hapo, upi ni umri sahihi wa kufanya maisha na mwanamke! Hapo kuna matimbwiritimbwiri nayashuhudia ktk ndoa zote na hata kwa marafiki zangu, kiasi kwamba nabaki njia panda cjui wapi ni sahihi kujishikiza, nabaki najiuliza upi ni mchanganyiko kamili kama ituatavyo hapa chini:

Umri Mwanaume Umri Mwanamke Tofauti ya Umri
1. 34 26 8+
2. 37 38 1-
3. 40 22 18+
4. 33 33 0
5. 29 20 9+
6. 34 23 11+

NB: Kwanin wenye umri usiokaribiana huwa wanakuwa na maisha mzuri na matamu kuliko wenye umri unaokaribiana?.
Swali lako limenikumbusha mbali Sana.
Jmaa yangu enzi hizo alikuwa na mpenzi wake akamcheat jamaa alikuwa na watoto wawili umri under 8 na mkewe hawajapishana age Sana ni mwaka tu dem akajakuchepuka wakaachana baba abakabakia na watoto akaja kukutana na mdada age 24 na yeye akiwa 45.
Wakawa wanadate akangojea mpaka binti kamaliza masomo wafunge ndoa kuja upande wa Dada zake hawamtaki kabisa binti ukiangalia na binti Ana umbo dogo ...basi ikashindikana wakaenda kila mmoja na hamsini zake sahizi binti Ana familia na ni mama mzuri mno.
Jamaa yupo kaganda pale pale kila anajaribu mahusiano hakuna Kama yule Dada wanaishia kudanganyana tu. Dada zake wanajuta mpaka kesho wakimuona yule binti .

Sio Muda wote ni umri tu SAA nyingine ni malezi na makuzi pia pamoja na tamaduni.
 
Back
Top Bottom