Combi ya HGL ina fursa gani huko mbele?

1) unaweza kuwa mwalimu wa history , language au geography ita -depend mainly with teaching subjects ambazo utaamua kuzichukua pindi ukiwa chuo of course utanufaika sana as you can see in previous teaching jobs that was announced in April i think walimu wa kingereza wengi wamechukuliwa so the choice is yours

2) unaweza kuwa mwanasheria i have got lots of friends who were doing Hgl back then in Advance level ambao later on walifanya sheria wakiwa chuo and now they're living their fullest life as lawyers .


3 ) kuna jamaa hapo juu kasema unaweza kuja kuwa mwanadiplomasia mzuri if lucky will be on your side who knows may be one day ukaja kuwa balozi wa tz somewhere 😊


4) if you will choice to keep up with english language still you can do hundred of things even if it happens you dont get a job in future coz unaweza kuwafundisha watu wanaotoka kujifunza kiswahili , i have one friend who is doing thing currently tho aint sure if he is making enough but at least he's getting something.

- unaweza pia kuwafundisha wa tanzania wenzio kingereza coz English is still a problem in our country so you can use it as an opportunity.

Lakini kama vyote utaona havipo katika upande uupendao basi nakushauri uachane nayo hiyo combination maana mwenyewe umeona wengi waliosomea hii wameishia katika ualimu unaweza kuwa wakuajiliwa au wakujiajili hivyo kama kuwa mwalimu siyo passion yako basi achana nayo kabisaaa.
 
S
1) unaweza kuwa mwalimu wa history , language au geography ita -depend mainly with teaching subjects ambazo utaamua kuzichukua pindi ukiwa chuo of course utanufaika sana as you can see in previous teaching jobs that was announced in April i think walimu wa kingereza wengi wamechukuliwa so the choice is yours

2) unaweza kuwa mwanasheria i have got lots of friends who were doing Hgl back then in Advance level ambao later on walifanya sheria wakiwa chuo and now they're living their fullest life as lawyers .


3 ) kuna jamaa hapo juu kasema unaweza kuja kuwa mwanadiplomasia mzuri if lucky will be on your side who knows may be one day ukaja kuwa balozi wa tz somewhere 😊


4) if you will choice to keep up with english language still you can do hundred of things even if it happens you dont get a job in future coz unaweza kuwafundisha watu wanaotoka kujifunza kiswahili , i have one friend who is doing thing currently tho aint sure if he is making enough but at least he's getting something.

- unaweza pia kuwafundisha wa tanzania wenzio kingereza coz English is still a problem in our country so you can use it as an opportunity.

Lakini kama vyote utaona havipo katika upande uupendao basi nakushauri uachane nayo hiyo combination maana mwenyewe umeona wengi waliosomea hii wameishia katika ualimu unaweza kuwa wakuajiliwa au wakujiajili hivyo kama kuwa mwalimu siyo passion yako basi achana nayo kabisaaa.
Shukran kaka apo nimekuelewa vizuri
 
Kwani ataishia hapo Sasa watu waliofaulu wakienda kuwa mafundi michundo wabobezi wa sheria na fani nyingine watapatikana vipi
Kuna fani supply ipo kubwa mtaani kuliko demand, mfn huyo mwanasheria demand yake sio kubwa .. huwezi kufananisha na demand ya koz mfn ya umeme, Kwa mtu Alie pitia veta
 
Kuna fani supply ipo kubwa mtaani kuliko demand, mfn huyo mwanasheria demand yake sio kubwa .. huwezi kufananisha na demand ya koz mfn ya umeme, Kwa mtu Alie pitia veta
Vijana wawe wanafikirie kwenda international zaidi na sio kuwa mafundi michundo ukiangalia kigezo Cha urahisi kupata miamia basi mshauri ajifunze bodaboda
 
Back
Top Bottom