sikulazizimishi mkuuacha uongo we gamba
sikulazizimishi mkuuacha uongo we gamba
Haa ha ha ha, mkuu we ulikua bweni gani? Mi nilikuaga Makongoro west cube ya juuMkuu kumbe tulikuwa wote kwenye uwanja wa mpira.
Du; kwenye hili tuachieni tuliopiga KURA Iringa mjini that time; Chiku alikua viti maalumu but aliyeshinda ni heard master wa shule moja ya wazazi ccm inaitwa Mwembe togwa. Kwa wasio fahamu Iringa mjini imejaa sana Waislamu na kila baada ya km chache unakutana na msikiti tena msikiti kweli, yaani mkubwa so kusema eti Hassy alishindwa kwasababu ya dini yake, huo ni uongo. Mageuzi yalipamba moto sana mwaka ule, kwa mbaaali nafananisha uchaguzi ule wa 95 na wa mwaka 2015, upinzani uliishika sana nchi mwaka huo tena ukichukulia Zambia alikua ameshinda mpinzani bwan Chiluba (nafikiri ilikua mwaka 92) na Malawi pia halafu ccm wakawa wamemfukuza Mrema aliyekua kawashika sana wapiga KURA wa Enzi hizo, yaani acha tu, nimekumbuka mbali.Unchanganya mambo ndugu! Anakosema kulikuwa na udini ni Iringa Mjini ambako alishinda Chiku Abwao wa NCCR Mageuzi na si kwamba alishindwa dhidi ya Tutemenke Sanga kule Makete!!!
Ndio unaweza ukaelewa nguvu ya Jungu... Ila jamaa naye alikuwa muhanga Sana wa Majungu hata issue ya matibabu ya mke wake lilikuwa jungu liloratibwa na wasaka urahisi flan flan na Team zao. Kijana wa Msoga naye alishiriki.Harafu hapo jamaa ndo alikuwa mkuu wa usalama lakini jungu lilipenya....
Pamoja na Udini unaotajwa kuwepo lakini ieleweke wazi kuwa Joto la Mageunzi na upinzani chini ya Lyatonga lilikuwa kubwa mno kwenye siasa za ukanda ule nyakati hizo hiyo yaweza kuwa miongoni mwa sababu kubwa zaidi.kama kawaida yenu na utetezi,mficha maradhi mauti humuumbua,haya yalimkuta kitwana kondo na ubunge kigamboni
Mahojiano mengine ni ya kupanga haya, anapewa muandishi rafiki, anatoa softball na hagiography mwanzo mpaka mwisho.Kachero huyu hakuulizwa kashfa ya kugushi matumizi ya sh 60 million kama matumizi ya matibabu ya Mke wake nchini Marekani
Mkuu yaani unaona ni sahihi ku quote uzi mzima kisha uandika aya fupi namna hiyo?Huyu mzee ukikutana naye ni mtu very simple kweli alifanya kazi kubwa
Makongoro east ya chini 1994/96 PCMHaa ha ha ha, mkuu we ulikua bweni gani? Mi nilikuaga Makongoro west cube ya juu
Idadi kubwa ya wanafunzi ndio lilikuwa anguko lake.Du; kwenye hili tuachieni tuliopiga KURA Iringa mjini that time; Chiku alikua viti maalumu but aliyeshinda ni heard master wa shule moja ya wazazi ccm inaitwa Mwembe togwa. Kwa wasio fahamu Iringa mjini imejaa sana Waislamu na kila baada ya km chache unakutana na msikiti tena msikiti kweli, yaani mkubwa so kusema eti Hassy alishindwa kwasababu ya dini yake, huo ni uongo. Mageuzi yalipamba moto sana mwaka ule, kwa mbaaali nafananisha uchaguzi ule wa 95 na wa mwaka 2015, upinzani uliishika sana nchi mwaka huo tena ukichukulia Zambia alikua ameshinda mpinzani bwan Chiluba (nafikiri ilikua mwaka 92) na Malawi pia halafu ccm wakawa wamemfukuza Mrema aliyekua kawashika sana wapiga KURA wa Enzi hizo, yaani acha tu, nimekumbuka mbali.
Upo sawa kabisa mkuu, Hassy hakushindwa uchaguzi ule kwasababu ya dini yake, alishindwa kwasababu ya hao wasomi watarajiwa. Mimi nilikua hapo kwenye bold.Idadi kubwa ya wanafunzi ndio lilikuwa anguko lake.
Mwembetogwa, Mkwawa, Highlands na Iringa girls waliungana kwa ajili ya kumpitisha mwalimu Mwakibasa, ajabu hata chuo cha Klerruu walimuunga mkono mwalimu.Ingekuwa ni udini Hassy angepita kirahisi sana kwa population ya waislam kwa mji wa Iringa. Na ikumbukwe hotuba ya Mwalim Nyerere 1,May,1995 iliwafungua watu wengi sana akili zao
Khaaa, we ni met wangu kabisa kaka. Itabidi tukutane somewhere tupige mastory yetu ya town, mi pia ni mwaka huo huo yaani 1994/1996 the same combination na mwalimu wangu wa darasa pamoja na bweni ni yule yule sir Ngui. Haa ha ha ha, nimekumbuka mbali sana mkuuMakongoro east ya chini 1994/96 PCM
Mkuu, labda nikukumbushe, kabla gazeti hili la raiamwema halijaanzishwa, wamiliki wa hili gazeti ndio waanzilishi wa kampuni ya Habari cooperation Ltd ya pale Sinza na ni kampuni hiyo hiyo ndio ilio chunguza na kutoka na kashfa iliomwondoa mzee Hassy kwenye uwazi if not ukuu wa mkoa wa Tanga, so msimlaumu mwandishi kwa kuto muuliza hilo swali, baada ya story hiyo kutoka ndipo mzee Jenerali Ulimwengu alipoaanza kuishi kwa kulipia Uraia wake hapa BONGO. Tuulizeni wahenga tutawaambia. This is why kwenye issues za rushwa na ufisadi jamaa simkubalii kiiivile.Mahojiano mengine ni ya kupanga haya, anapewa muandishi rafiki, anatoa softball na hagiography mwanzo mpaka mwisho.
Katika maisha ya Kitine, hilo swali linakuwa kubwa kabisa. Haitakiwi muandishi wa habari yeyote, hata kama ni rafiki yake, asiulize hilo japo kizushi tu.
Ni kama unaandika maisha ya Bill Clinton halafu usiandike kashfa ya Monica Lewinsky au unaandika maisha ya Nixon halafu usiandike kashfa ya Watergate.
Inaonyesha hii interview ni ya kirafiki sana, haina standards za uandishi wa habari.
Hahahaa Ngui mzee wa ku panic. Nilikuwa PCM 2.Karibu sana mkuuKhaaa, we ni met wangu kabisa kaka. Itabidi tukutane somewhere tupige mastory yetu ya town, mi pia ni mwaka huo huo yaani 1994/1996 the same combination na mwalimu wangu wa darasa pamoja na bweni ni yule yule sir Ngui. Haa ha ha ha, nimekumbuka mbali sana mkuu