joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 15,108
- 31,679
Dah mzee yupo deep, pamoja na nafasi zote alizozishika lkn maisha yake ya kawaida, sasa watafute watu wanaoshika vyeo kama alivyowahi kuvishika yy uone walivyokuwa na utajiri wa kutisha. Kuna haja ya hawa wazee ya kuandika vitabu juu za kazi zao naona zitachochea uzalendo na kama ikiwezekana viingizwe ktk mitaala ya shule, ili vijana watambue wapi tulipotoka na wapi tunaenda naona itachochea uzalendo.