Colombia Yahalalisha Bangi

Colombia Yahalalisha Bangi

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,268
Rais wa Colombia , Juan Manuel Santos, ametia sahihi sheria mpya inayohalalisha matumizi ya bangi kwa manufaa ya kimatibabu

Katika hotuba kwa taifa kupitia kwa runing bwana Santos alisema kuwa sheria hii kimsingi inaiweka Colombia katika mtsari wa mbele wa kupamabana na matumizi ulanguzi na ukuzaji wa bangi Kusini mwa Marekani.

"Tumechukua hatua ya kwanza kuisadia Colombia kupambana na gonjwa hili sugu la matumizi ya mihadarati.

Sheria hii itasaidia kufaidi kile kinachoitwa kuwa uwezo wa kimatibabu ya mmea huu ;bangi.''alisema rais Manuel Santos.

151223035355_sp_colombia_640x360_epa_nocredit.jpg
 

Attachments

  • download.jpg
    download.jpg
    3.7 KB · Views: 31
Back
Top Bottom