Coincidence or typing error?

Coincidence or typing error?

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
362,457
Reaction score
835,658
Written a year before... RIP mpambanaji
IMG-20190227-WA0038.jpeg


Jr
 
Coincidence or deliberately done?

Jr

Ni ukosefu wa umakini.

Hizi barua zinakuwa prepared kwa kumtumia ya kipindi kilichopita, kama template.

Mwandaaji anafanya kubadili vile vitu specific, mengine yanabaki vile vile. So hapo ukute katumia template ya 2018 ka edit kote kasahau hapo kwenye mwaka.

Swali: Hakukuwa na reviewer? Yeye pia anaweza ku-overlook as it is an obvious error.

Correct me if am wrong, Msigwa wa Ikulu aliwahi kukosea mara kadhaa kwenye barua zake, ikiwemo ya kumpongeza Rais wa Zimbabwe.
 
Iliandaliwa mwaka jana baada ya Bashite kuingia mjengoni na kuacha madhara. Alidhani haitachukua wiki ila imechukua mwaka. Barua iliandaliwa mapema na imetumwa kama ilivyoandaliwa.
aisee!
 
Hata ungekuwa mhalifu mjanja kiasi gani ila utaacha ushahidi wa uhalifu kama wachunguzi wakiwa makinni.
 
Hata ungekuwa mhalifu mjanja kiasi gani ila utaacha ushahidi wa unalifu kama wachunguzi wakiwa makinni.
Kuna watu naona hawajui madhara ya typing error hasa kwenye official statement za kiserikali.... Jamaa mmoja alinusurika kifo cha kunyongwa hadi kufa kwa kosa dogo sana la alama mkato la hakimu....
Hati ya jukumu ilisomeka hivi HANG HIM NOT, LET HIM GO.... wakati kiuhalisia ilipaswa kusomeka hivi... HANG HIM, NOT LET HIM GO...!!!
A very minor typing error can cause fatal outcome mistake

Jr
 
Kuna watu naona hawajui madhara ya typing error hasa kwenye official statement za kiserikali.... Jamaa mmoja alinusurika kifo cha kunyongwa hadi kufa kwa kosa dogo sana la alama mkato la hakimu....
Hati ya jukumu ilisomeka hivi HANG HIM NOT, LET HIM GO.... wakati kiuhalisia ilipaswa kusomeka hivi... HANG HIM, NOT LET HIM GO...!!!
A very minor typing error can cause fatal outcome mistake

Jr

Hili swala la uandishi naona linazidi kuwa tatizo sana, mimi nina wadogo zangu tena wengine ni graduates, ukiona wanavyoandika SMS kwenye WhatsApp group ambayo niko nao ni shida.

Yaani sheria za uandishi hakuna kabisa. Na humu naona tatizo ni kama hilo hilo.
 
Back
Top Bottom