code ya +882 ni ya nchi gani?

code ya +882 ni ya nchi gani?

steveachi

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2011
Posts
11,370
Reaction score
13,422
nijuzeni wadau manake namba inayoanzia hvyo umenibeep
 
embu andika yote mimi nitampigia nimulizi yupo nchi gani??

ila naisi ni kama ile iliye mteka dr ulimboka coz inafanana nayo kwa mbali
 
strange hata mdogo wangu amebipiwa na namba kama hiyo....+50588922745
 
Wadau mjihadhari na number yeyote inayoanzia na +882. Ni namba ya matapeli wa kimataifa. Jana jioni imeni beep number hiyo na nikajua labda ni ndugu yangu aliyepo nje ana nitafuta. Niliamua kumpigia lakini wakati napiga simu yangu ilikua na sh 5500. Ilipokelewb baliSikumsikia mtu. Nilikata and to my suprise salio nilikuta ni zero. Nimeingia mitandaoni kutafuta nani anatumia code hizi page moja inasema inatumiwa sana na matapeli wa kimataifa. Ukipiga wewe ndio unakatwa tena bill kubwa sana. Mapato haya wanagawana telephone companies na makampuni haya ya kitapeli. Ushauri: usimpigie anaeku beep kwa namba hii.Ingia www.whocallsme.com utaona watu wengi wa ulaya walivyo elezea kuhusu hii number
 
Back
Top Bottom