barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,405
- 29,811
Huu wimbo kwa ujumla ni balaa. Wamezitendea haki beats!!
Diamond is too big to be killed by clouds fm. Clouds fm ombeni msamaha kwa diamond kwa kitendo cha kutaka kumbomoa siku ile ya fiesta lakini mkashindwa vibaya. Huyo Ali kiba wenu yes ni msanii mzuri lakini he is not outward looking, he is too indegenous