Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 20,841
- 20,558
Sio Coastal Union tu, hata Azam yupo Bakhresa na Yanga yupo GSM, hao wote ni Simba watupu wa kutupwa, ila basi tu ni kwa kuwa lazima wafanye biashara maisha yasonge mbele... hili liko wazi coastal imejaa viongozi waliokuwa Simba kama Binslum mwenyewe..