Coach Fadlu Davids alimhitaji Balla Conte, viongozi wa Simba wana Imani na Kagoma

Coach Fadlu Davids alimhitaji Balla Conte, viongozi wa Simba wana Imani na Kagoma

Yanga bingwa tena. Simba tuendelee kusubiri, na msimu huu tutashika nafasi ya 3.
 
Uzembe wa viongozi wetu wa Simba.
Leo Balla Conte amesaini Yanga

Pendekezo la Fadlu Davids limepuuzwa na viongozi

Viongozi wao wanahitaji Kagoma

Hakika Rage alikuwa sahihi kutuita mbumbumbu

Fadlu ujue anazungumza ung'eng'e...! Uliwasiliana naye vipi akakwambia kuwa alimtaka conte.!

Embu iandike sentensi ya ung'eng'e ukimuuliza ni mchezaji Gani unamuhitaji tuone kama Kweli wewe ung'eng'e unapanda..?
Acha kujishaua.!
 
Simba ndio wa kwanza kumtaka Conte na mshenga alikuwa kipa wao Camara. Camara alifanya kazi yake ya ushenga vizuri sana na kila kitu kila poa. Kiufupi Simba walikuwa na nafasi kubwa ya kumpata lakini kilichowakwamisha ni mfumo wao wa kizamani wa usajili ambao unapitia mlolongo mrefu na mbaya zaidi ni maelewano hafifu kwa hivi sasa kati Mwekezaji na mwenyekiti wa wananchama. Shida ilikuja pale kwenye malipo hapo ndio Hersi alipita katikati ya Mangungu na MO kilichofuata huko Simba kila mtu kavurugwa mpaka wengine wanasema eti Kagoma ni mzuri kuliko Conte na wengine wamechanganyikiwa labisa wanatafuta assist na magoli aliyofunga Conte wanajisaulisha kuwa huyo jamaa ni kiungo mkabaji.
 
Uzembe wa viongozi wetu wa Simba.
Leo Balla Conte amesaini Yanga

Pendekezo la Fadlu Davids limepuuzwa na viongozi

Viongozi wao wanahitaji Kagoma

Hakika Rage alikuwa sahihi kutuita mbumbumbu
Gamondi aliwaambia Yanga sajilini yeyote mnaeona atafaa, ila mimi naomba mniletee Duke Abuya, hao wengine mtaamua nyie.
 
Back
Top Bottom