Wapuuzi wote hao mm mwenyewe nina ripoti yangu ya uchunguzi nimeifanya kwa zaidi ya miaka kumi kuhusu Hawa waandishi uchwara na vyama vyao njaa vya mikoani,na inasikitisha.
Ni kwamba Kila baada ya miaka mitano vitambi vya viongozi wa vyama hivi huongezeka sasa sijui kuna nini ila sidhani kama ni ubwabwa wa chauma
Ni kwamba Kila baada ya miaka mitano vitambi vya viongozi wa vyama hivi huongezeka sasa sijui kuna nini ila sidhani kama ni ubwabwa wa chauma