Maboso
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 5,164
- 5,761
Ninapoona mambo kama haya huwa sijutii kuwa supporter wa Diamond Platinumz.
Na hata ninapoona kuna nguvu fulani ya kutaka kumkwamisha huwa naumia sana.
Ni vile tu muziki si mchezo wa soka ila kama ingekuwa soka basi Diamond ingekuwa ni timu ya kujivunia sana.
Katika mtu ambaye amejitahidi kuipaisha Tanzania kupitia kipaji chake, Diamond iis the best.
Kufika mahali hadi media za kimataifa ambazo hazijihushi na masuala ya muziki kama CNN zikakaa chini zikaona zikifanya interview na Diamond hawatakuwa wamechezea muda wao hakika ni jambo ambalo Diamond na kila Mtanzania mpenda maendeleo anapaswa kujivunia.
Hapa chini ni post ya CNN kuhusu Diamond.
Na hata ninapoona kuna nguvu fulani ya kutaka kumkwamisha huwa naumia sana.
Ni vile tu muziki si mchezo wa soka ila kama ingekuwa soka basi Diamond ingekuwa ni timu ya kujivunia sana.
Katika mtu ambaye amejitahidi kuipaisha Tanzania kupitia kipaji chake, Diamond iis the best.
Kufika mahali hadi media za kimataifa ambazo hazijihushi na masuala ya muziki kama CNN zikakaa chini zikaona zikifanya interview na Diamond hawatakuwa wamechezea muda wao hakika ni jambo ambalo Diamond na kila Mtanzania mpenda maendeleo anapaswa kujivunia.
Hapa chini ni post ya CNN kuhusu Diamond.