Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,192
- 46,238
Sawa dada G8M8
Sawa dingoo...
Kwani clouds walimpigia cm mtoa maada kuomba msaada..wenyew na vyombo vingine vya habari walisema jamaa anaumwa anahitaji michango kama kuna mtu atume moja kwa moja kwa mdogo wake tena hakukuwa na longolongo...sasa wewe kama unataka kujua mapato na matumizi iulize familia ndo inajua mapato na matumiziKwani familia ya ruge walimpigia simu mtoa mada kumuomba mchango?
Njia ile ile iliyotumika kuomba ndio hiyo hiyo itumike kutoa feedback
Clouds waliniomba mchango kupitia redio , ulitaka waje nyumbani ndio nipate uhalali wa kuhoji? Mbona unakuwa kama z.uzyu wewe.Kwani clouds walimpigia cm mtoa maada kuomba msaada..wenyew na vyombo vingine vya habari walisema jamaa anaumwa anahitaji michango kama kuna mtu atume moja kwa moja kwa mdogo wake tena hakukuwa na longolongo...sasa wewe kama unataka kujua mapato na matumizi iulize familia ndo inajua mapato na matumizi
Clouds hawakukuomba mchango walikuomba uichangie familia..hakuna mtu yoyote aliewatumia mchango clouds...kama uliwatumia mchango clouds tuambie mwenzetu uliwatumia kwa njia ganiClouds waliniomba mchango kupitia redio , ulitaka waje nyumbani ndio nipate uhalali wa kuhoji? Mbona unakuwa kama z.uzyu wewe.
Toka mwanzoni nimekutilia mashaka sana huenda we ni mnufaika mkubwa wa hayo makusanyo Na nimekupapasa pabaya
Sent from my Iphone using Tapatalk
Wewe ndo hopeless..wewe clouds walikupigia simu kukuomba mchango??Jamaa hopeless sana huyo
Sent from my Iphone using Tapatalk
Well , Clouds waliomba mchango Kwa ajili ya Familia , hiyo Familia wao ndio wanaijua, Clouds wao wakakusanye hizo taarifa watupatie ! Mbona Jambo jepesi tu hiliClouds hawakukuomba mchango walikuomba uichangie familia..hakuna mtu yoyote aliewatumia mchango clouds...kama uliwatumia mchango clouds tuambie mwenzetu uliwatumia kwa njia gani
Si ndicho alichotaka huyo ndugu yako aliyeanzisha mada!?....😂😂😂Mkuu tangu lini familia ikatoa mapato na matumizi ya pesa alizochangiwa marehemu
Nenda kakusanye wewe hizo taarifa kutoka kwenye familia kama ni jambo jepesi...mbona namba ya mdogo wake tuliokuwa tunampa michango kwa niaba ya familia ipo...unga kifurushi tu cha mia tano mpigie wewe akupe mchanganuo..mbona rahisi tuWell , Clouds waliomba mchango Kwa ajili ya Familia , hiyo Familia wao ndio wanaijua, Clouds wao wakakusanye hizo taarifa watupatie ! Mbona Jambo jepesi tu hili
Sent from my Iphone using Tapatalk
Huyu mwehu ni wa kumpuuza...alafu yeye muulize sasa kama amechanga hata buku😂😂😂Si ndicho alichotaka huyo ndugu yako aliyeanzisha mada!?....😂😂😂