chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 19,682
- 22,685
Naweza kuonekana mbaya Kwa kuhoji ila tutambue uungwana ni vitendo .
Wengi tulijitoa sana Kwa ajili ya kuchangia gharama za matibabu ya ndugu yetu aliyetutoka baada ya kuugua Na kutibiwa huko South Africa.
Kwa namna moja ama nyingine aligusa wengi Na ndio maana wakajitoa Na kuchukulia Kwa uzito kuchangia huku tukiongozwa Na Mh Rais Magufuli.
Tunafahamu michango ilipokelewa Kwa kupitia mitandao ya simu Na bank , tunafahamu suala la kupata records sahihi Kwa kilichokusanywa nalo siyo Jambo zito.
Tunaomba Na tunajua ni wajibu wetu kupata Statement nzima pamoja na mchanganuo mzima wa mapato Na matumizi Na kama kuna kilichobaki basi Watanzania tufahamishwe.
Huenda mmepanga kutupa mrejesho baada ya mazishi napo siyo mbaya kama mna Lengo hilo.
Hii itajenga IMANI pia kuwasaida Na wengine watakaokuja , Ruge siyo mtu wa kwanza wala wa mwisho kuchangiwa , Kwa hiyo tunaomba tuwekwe wazi katika hili Tafadhali.
Mwisho niendelee kuwapa pole wafiwa , tupo pamoja katika shughuli hii ya kumpumzisha ndugu Yetu .
R.I.P Ruge
Sent from my Iphone using Tapatalk
Wengi tulijitoa sana Kwa ajili ya kuchangia gharama za matibabu ya ndugu yetu aliyetutoka baada ya kuugua Na kutibiwa huko South Africa.
Kwa namna moja ama nyingine aligusa wengi Na ndio maana wakajitoa Na kuchukulia Kwa uzito kuchangia huku tukiongozwa Na Mh Rais Magufuli.
Tunafahamu michango ilipokelewa Kwa kupitia mitandao ya simu Na bank , tunafahamu suala la kupata records sahihi Kwa kilichokusanywa nalo siyo Jambo zito.
Tunaomba Na tunajua ni wajibu wetu kupata Statement nzima pamoja na mchanganuo mzima wa mapato Na matumizi Na kama kuna kilichobaki basi Watanzania tufahamishwe.
Huenda mmepanga kutupa mrejesho baada ya mazishi napo siyo mbaya kama mna Lengo hilo.
Hii itajenga IMANI pia kuwasaida Na wengine watakaokuja , Ruge siyo mtu wa kwanza wala wa mwisho kuchangiwa , Kwa hiyo tunaomba tuwekwe wazi katika hili Tafadhali.
Mwisho niendelee kuwapa pole wafiwa , tupo pamoja katika shughuli hii ya kumpumzisha ndugu Yetu .
R.I.P Ruge
Sent from my Iphone using Tapatalk