Clouds yaipotezea UKAWA


Wasakatonge wote si washauri wazuri hata kidogo!
 
Nyie watz mnafikiri hao ya clouds ni mchenzo!hii maana yake ni kuwa chombo cha habari inatumika kupandikisha chuki katika jamii,mnapitia njia ile ile ambao kenya ilipitia na kuatiwa na vurugu kubwa 2007
 
Mnavyo anzisha habari kuhusu clouds fm hapa JF ndio mnawapa umaarufu hao wajinga wa hio redio ya ccm
 
Hivi Barbara kaolewa? Anaitaji ku-su----wa:A S wink:

Mkuu sio huyo tu kuna producer wa hicho kipindi aliipa yy ataunganisha nguvu na vijana wenzake kuhakikisha serikali tatu hazipiti, then hujui vitu ilikuwa aibu wkt anahojiwa na Jenarali Ulimwengu anajikanyaga na kusingizia watu bila evedance.Sasa inawezekana ameanzia na hapo kwenye kipindi chake
 
Clouds na watangazaji wake wote ni makapi tu! Hawana akili na wala hawana uwezo wa kuchambua mambo! Kwanza elimu yao ni ya kuungaunga tu! Ni makanjanja wakubwa hao!
 
Clouds is ----!
 
Hivi kusikliza Clouds FM, si ni sawa sawa tu na kusikiliza Radio Uhuru na TBC?

Hicho kiredio cha Clouds, kazi yake kubwa ni kutangaza udaku, umbeya na kueneza propaganda, kwa lengo la kuisaidia CCM.

Mtu yeyote makini, hawezi kusikiliza karedio ka umbeya kama hako ka Clouds!
 
Ni waandishi wa habari wa gazeti la mwanasiasa mmoja wapo aliegoma kuingia bungeni, isitoshe wafanya kazi wake wote ni wanachama wa chama hicho ambacho card ya uanachama waliletewa ofisini.
Sasa kilichowatuma wasome habari zingine za waipotezee hiyo ni nini? Za kwako changanya na za mbayuwayu
 
Asante mleta mada.
Kwanza wewe una akili nyingi sana na ndio maana bado unasikilza clouds tena asubuhi wakati unaanza siku na nahisi hukuona midahalo miwili ya Ubungo Plaza pamoja na ule wa awali pale Serena kwa vile ilirushwa ni vituo ambavyo sio 'saizi' yako. Lakini naamini uliangalia/sikiliza ule wa Nkrumah au ulihudhuria kabisa, waulize waliohudhuria yote wakwambia katika nchi hii ni nani mjinga na ni nani mp.u.mb.a.vu (kwa mjibu wa Prof. Kabudi).
Pia kama unaweza tafuta mawasiliano ya huyo Professor akusaidie kujua kati ya clouds na UKAWA ni nani mjinga/mp.u.mb.a.vu.
Siku njema
 
Yani were nilijua utasema clouds FM instuuzi wananchi. Iyo radio ni watumwa was ccm. Pamoja na wafanyakazi wrote ni watumwa wa ccm
 
Hehehe hivi kichwa maji Barbara Hassan ana hoja gani ya kusikilizwa...akili ndogo kamwe haiwezi kutafakari mambo ya akili kubwa...
 
Wananchi ni nani? Au wewe ni mwanachi na wao si wananchi?

hao clouds ni 0.00000000000000000000001 ya wananchi wote wa tz. ngoma iko nje huku na sio studio za mawingu, endeleeni kujisumbu kutunga hiyo katiba yenu ya ccm halafu mtakuja kutuambia kama pepsi ni soda au kinywaji? nya*mb*afu
 
Kila dakika utasikia kale kawimbo chao cha "Hello hello Tanzania "...
Kazi kujipendekeza tu katika chama cha majambazi.
 
Siwezi kusikiliza hiyo redio hata bure na hela juu!
 
vidampaaa wa ccm hao.....alafu ni makuwad..
.

wa mkulu wa nchi ngoja aondoke madarakani sijui watakuny wapi hao mbona wakati wa mkapa hawakumgusa mmakonde yule,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…