Mzee wa hat-trick
JF-Expert Member
- Nov 21, 2016
- 1,730
- 2,388
Ni sasa hv tu nipo sebuleni nafanya kazi zangu, huku nimewasha Clouds FM, wakitangaza moja kwa moja FIESTA DODOMA. Mtangazaji anasema ".......unaweza ukamwambia mshikaji wako kamata ALBINO hii hapa......" Hapo kwenye ALBINO amemaanisha NOTI YA ELFU 10.
Binafsi sijapenda hilo neno kutumika kwa jinsi lilivyotumika. Hawa ni ndugu zetu na hawajapenda kuwa na ulemavu wa ngozi. Kuwafananisha hali yao au rangi yaona noti ya elfu 10 haijakaa njema.
Binafsi sijapenda hilo neno kutumika kwa jinsi lilivyotumika. Hawa ni ndugu zetu na hawajapenda kuwa na ulemavu wa ngozi. Kuwafananisha hali yao au rangi yaona noti ya elfu 10 haijakaa njema.