jaxborn kasanya
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 299
- 53
hafu kwa nn jamaa wa cloud wanapenda kuchekacheka,? mi naona kama matahila vile! taarfa zenyewe wanaongelea za majumbani kwao wafunge tu kituo hiki.
Katika habari yao ya jioni hii Clouds tv wameanza na habari ya kulinda amani.
Chakushangaza wameanza kwa kuonyesha vita vya Libya na kuanza kuweka ulinganishi na hali ya Tanzania na matamko ya Amani yaliyotolewa leo.
Mmeweka hzo video tena na sauti ili iweje?
Wito wangu ni huu, Clouds tv acheni huo mtindo mnaotaka kuanza huko ni kuwapa hofu wananchi katika kufanya maamuzi yao.
wewe ndo mtoto mdogo unashindwa kujua lengo la kuonyesha wagonjwa wa ebolaMbona unakuwa kama mtoto
Sasa unaogopa nini
Mbona wakionyesha wagonjwa wa ebola hulalamiki
Kuna sera nzito inasimamiwa na CCM.Awali nilijua "mfupa hauna ulimi",kumbe ndo sera yenyewe na inanadiwa kila mahali.Jamaa wa CCM anasema nchi itageuzwa Libya...kwa kusisiza hilo wameanza kurusha video za Libya kwenye maTv yao.Ningependa kujua hii sera itatekelezwa vipi na nani atakuwa Gadafi katika utekelezaji
ICC's eyes staring...halafu watakuja kulalama mbona waafrika tu ndo wanashitakiwaThe world is watching
teh teh muulizeni basi na Iraq amempatia naniSio nani kuwa Gadafi bali nani kuwa SADAMU
Mods acheni kutumika,huu uzi una uhusiano gani na huku mlipowekaKuna sera nzito inasimamiwa na CCM.Awali nilijua "mfupa hauna ulimi",kumbe ndo sera yenyewe na inanadiwa kila mahali.Jamaa wa CCM anasema nchi itageuzwa Libya...kwa kusisiza hilo wameanza kurusha video za Libya kwenye maTv yao.Ningependa kujua hii sera itatekelezwa vipi na nani atakuwa Gadafi katika utekelezaji